kwenye sheria hakuna mtaalu/mganga, ni technicalities za kisheria tu pengine ndio zilikutoa au pengine ushahidi haukutosha High Court wakakuachia. nimedumu kwenye izo ishu za mahakama miaka mingi na nimeamini uchawi haufanyi kazi. tafuta kitabu fulani cha sheria kinaonyesha namna ya kukata rufaa...
Mkuu, sijaelewa unacholalamika, na uhusiano wa makonda na sheria ya ndoa. kwa vitabu vya aina hiyo, nakushauri bofya hapa Sheria kwa Kiswahili (@sheriakwakiswahili) • Instagram photos and videos
tafuta mwanasheria akuandikie barua ya kukuwakilisha ili kesi itoke mahakama hiyo iende mahakama ya wilaya ambako mawakili wanaruhusiwa. Sheria kwa Kiswahili (@sheriakwakiswahili) • Instagram photos and videos
binafsi huwa nahesabu kuwa mwalimu akimfundisha watoto 500 wakafaulu 200 jibu ni kwamba yule mwalimu hana uwezo wa kufundisha. hatufundishi watoto ili wafeli bali wafaulu, na kubania watu maisha haimaaini kuwa ndio unanoa tasnia. nawaonea huruma sana wadogo zangu ambao hawajaapishwa hadi leo...
kuna ulazima wa polisi kuonana nao, kama haujapika kesi mashahidi watakuwepo tu bofya hapa Sheria kwa Kiswahili (@sheriakwakiswahili) • Instagram photos and videos
ndio kuna ulazima huo ili wawahoji na kuandika maelezo yao kesi ikianza waitwe kwa samansi kuja kukutolea ushahidi. unachotakiwa wewe nenda kafungue kesi halafu mpelelezi atakuja kuwatafuta mashahidi wako utakaokuwa umemtajia na kuwahoji. bofya hapa Sheria kwa Kiswahili (@sheriakwakiswahili) •...
kama anatumikia kifungo cha nje cha kwenda kufagia tu maeneo ya umma, kwanini asipata nakala ya hukumu akafungua madai leoleo?
pia, tembelea web za wanasheria wanauza vitabu
soft copy hautavipata, watengeneza vitabu huwa wanakuwa wanaviuza hivyo kukupatia wewe soft copy ili usiwaungishe ni kosa la jinai kwao/impossible. kwa ushauri, tembelea maduka ukanunue. unashauriwa pia kutembelea Vitabu Vya Sheria ~ SHERIA KWA KISWAHILI
instagram bofya Sheria kwa Kiswahili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.