Hiyo mtu katoka nayo kwa pepa kiwizi wizi sanA,na hizo ni pavings za udom pale😕,toa hiyo post utasababisha wapandishe cutt off point bure,na unakuta umefanya vizuri,mimi nilikuwa kwenye hiyo costa hakuna kitu kama hiko ilitokea ,umesikia kijana wa kigoma😃
Hapa no kona kona,chap chap mchane jamaa,mambo yenu haya ya kuanza kuhofia hofia mtu anapelekewa magonjwa unaona,ndoa saivi hazina tena uzito ule😀,mwambie fasta.
Salaam.
Happy saba saba day, Twende kwenye topic, Nimekuwa nikikutana na clips nyingi kwenye youtube channels za ma MC's wa shughuli za harusi na kushudia vile watu wanakiwa wanasherehekea kuingia katika ndoa, promises kibao na mambo kedekede, inshort huonesha kwamba kwamba wako smart couple...
Salaam.
My first thread kipande hiki cha mahusiano which is my favourate in this platfom. Twende kwenye topic, tupeane experience kwa wanandoa wanaoishi mikoa tofauti kutokana na sababu za kikazi n.k.
Inakuwaje kuwaje hasa kwa mwanaume issues kama usafi wa ndani, kufua, mambo ya kutandika...
Salaam,
Kama titlle inavoeleza,natafuta ambaye anayo account ya uber/bolt(driver account) na haitumii kwa sasa labda kapata mishe mingine. Kama unayo na ungependa kuitoa kwa mtu kuitumia katika kazi na utapata percentage yako kwa wiki kutokana na makubaliano,tafadhali tuwasiliane kupitia namba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.