Salaam.
Happy saba saba day, Twende kwenye topic, Nimekuwa nikikutana na clips nyingi kwenye youtube channels za ma MC's wa shughuli za harusi na kushudia vile watu wanakiwa wanasherehekea kuingia katika ndoa, promises kibao na mambo kedekede, inshort huonesha kwamba kwamba wako smart couple and etc kitu ambacho kinaweza kukushawishi kwamba na wewe uoe sasa utulie na mmoja😀.
Sasa kutokana na nyuzi nyingi za wanandoa humu hasa kuchepuka wote waume kwa wake imenifanya nikawa najiuliza ni hawa hawa wanandoa tunaowaona kwenye hizi shughuli au ni wa nchi jirani?😕
Yani huwa nikitazama zile speech za wanandoa kwenye sherehe hasa wadada maneno kibao wakichanganya na lile neno lao maarufu kwamba"tukamtumainie mungu katika ndoa yetu " dah napata ukakasi kidogo,ni nyie hawa hawa au ni vivuli vyenu asee?
Happy saba saba day, Twende kwenye topic, Nimekuwa nikikutana na clips nyingi kwenye youtube channels za ma MC's wa shughuli za harusi na kushudia vile watu wanakiwa wanasherehekea kuingia katika ndoa, promises kibao na mambo kedekede, inshort huonesha kwamba kwamba wako smart couple and etc kitu ambacho kinaweza kukushawishi kwamba na wewe uoe sasa utulie na mmoja😀.
Sasa kutokana na nyuzi nyingi za wanandoa humu hasa kuchepuka wote waume kwa wake imenifanya nikawa najiuliza ni hawa hawa wanandoa tunaowaona kwenye hizi shughuli au ni wa nchi jirani?😕
Yani huwa nikitazama zile speech za wanandoa kwenye sherehe hasa wadada maneno kibao wakichanganya na lile neno lao maarufu kwamba"tukamtumainie mungu katika ndoa yetu " dah napata ukakasi kidogo,ni nyie hawa hawa au ni vivuli vyenu asee?