Yeye anadai siyo yeye. Wengine wanampa pole na kwamba ajikaze na kusonga mbele.
Anadai karipoti polisi kuhusu hiyo connection
Ni yeye au wameamua kumchafua tu?
Sijui ni kwanini mtu aombe radhi kwa kusema ukweli.
Katambi hastahili kuwaomba vijana radhi, wala Dar Mpya haistahili kumuomba radhi Katambi kwa sababu Katambi kasema ukweli kuhusu vijana, wakati Dar Mpya wamesema ukweli kuhusu ukweli uliosemwa na Katambi.
Kuna shule ipo Mbweni inaitwa Shamsia pamoja na hizo Feza Schools zinamilikiwa na Waturuki.
Inasemekana wamiliki wanna Uhusiano na kiongozi wa jaribio la mapinduzi ya Serikali ya Uturuki.
Wakati fulani walijaribu kurekebisha umiliki Ili kufuta ushahidi wa Uhusiano na kiongozi wa mapinduzi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.