Je mimi niliyeowa dada wa kirangi ambae wazazi wake waalihamia Arusha japo haelewi kuongea kirangi tunapewa ukaribisho huo katika group tuluusike Kilaangi
wanajf jaribuni kuchangia mada zinazojenga ubinadamu na si chuki za udini kumbuka dini ni imani ya mtu mwenyewe kama vile mtu ajisifu kuwa mke wake ni mrembo sana na mke wako hauziki mjadala huo hauna mwamuzi elewa maana ya dini na imani ni nini
Mdogo wangu wa kiume ana mchumba wake anayetaraji kumuoa na ni mtumishi usiku mmoja majira ya saa 3-4 akiwa nae alimuonyesha kitendo ambacho hakikumfurahisha mdogo wangu, dem wake aliamka kitandani na kuchukua cm kupiga kwa mwanaume wanaefanya nae kazi kuwa amemkumbuka na ampigie kumpa salam tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.