Recent content by hajurangoo

  1. H

    Baraza jipya la mawaziri

    Shekh yahya angekuwepo tungekushauri uelekeze hii thread huko pole au ulizia mrithi wake!
  2. H

    Ni haki kumtendea hili mwenza wako?

    wanajf nawashukuru kwa ushauri na maoni kwa sasa kuna maelewano mazuri baina ya hao wapendwa
  3. H

    Kwa Warangi tu...!

    Je mimi niliyeowa dada wa kirangi ambae wazazi wake waalihamia Arusha japo haelewi kuongea kirangi tunapewa ukaribisho huo katika group tuluusike Kilaangi
  4. H

    Tv imaan yapata kibali rasmi

    wanajf jaribuni kuchangia mada zinazojenga ubinadamu na si chuki za udini kumbuka dini ni imani ya mtu mwenyewe kama vile mtu ajisifu kuwa mke wake ni mrembo sana na mke wako hauziki mjadala huo hauna mwamuzi elewa maana ya dini na imani ni nini
  5. H

    Ni haki kumtendea hili mwenza wako?

    Mdogo wangu wa kiume ana mchumba wake anayetaraji kumuoa na ni mtumishi usiku mmoja majira ya saa 3-4 akiwa nae alimuonyesha kitendo ambacho hakikumfurahisha mdogo wangu, dem wake aliamka kitandani na kuchukua cm kupiga kwa mwanaume wanaefanya nae kazi kuwa amemkumbuka na ampigie kumpa salam tu...
  6. H

    Tatizo la Uke Kuwa Mkavu: Chanzo, Suluhisho na Ushauri

    Ni tatizo la kimaumbile tumia vilainishi kwa ushauri wa daktari.
  7. H

    hodi hodi wana jf

    naomba mnikaribishe jukwaani
  8. H

    Shilole Ayasifia Makalio Yake Na Kudai Kuwa Ni Original

    faida na manufaa yake yako wapi?
Back
Top Bottom