Recent content by hajikagoro

  1. hajikagoro

    Wajinga ndio waliwao huu ni uthibitisho kwa Simba, Rage huna baya

    Mkuu mbona kama imekuuma sana?? 😁😁😁 mashabiki wa simba ndio waliofanya vurugu na kung'oa viti, club imepewa adhabu..mashabiki wenyewe wameomba walipe hilo deni na club ikaweka utaratibu ila unaibuka wewe mganga njaa kujiliza humu Jf, pia ni hiyari hajalazimishwa mtu. Ikikupendeza na wewe changia...
  2. hajikagoro

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Thanks bruv...ikitengemaa tushtuane tu mkuu.
  3. hajikagoro

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nikishindwa kabisa nitavuta subira tu
  4. hajikagoro

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Haya mambo ukijichanganya ni tatizo..hela ndefu tu ipo kwe akaunti, nahofia kuendelea kuicheza maana inaweza ikaliwa au nikashinda pakubwa zaidi na nisiitoe..
  5. hajikagoro

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wanasema nijaribu kutumia tigo au airtel na huku nilipo vodacom pekee ndio inakamata network
  6. hajikagoro

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Astropay nimejaribu, yes pesa inatoka kule 888starz na inainhlgia astropay, tatizo ni kuitoa Astropay kuja Mpesa
  7. hajikagoro

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Habari wana jamvi, nina changamoto moja naomba mwenye ufahamu anisaidie.. Nilideposit 888starz kwa Vodacom Mpesa nikazungusha mtaji kama wiki nikaipata faida..sasa nilipofanya uamuzi wa ku-withdraw nikakuta huduma ya kutoa kwa mobile haipo, nikajaribu kutafuta wakala na yeye kachemka, naomba...
  8. hajikagoro

    Hivi huyu Vandernbroeck anatutafuta nini Wanamsimbazi?

    Mkuu acha kupanic kijinga cz mpira una matokeo matatu..tatizo sisi mashabiki hatutakagi matokeo mengine zaidi ya ushindi! Na timu ikishinda huwez kuskia kocha akisemwa ila itoe sare au kufungwa lawama zote anabebeshwa kocha acheni hizo jamani, lakini pia mkumbuke wachezaji ndio hawahawa asilimia...
  9. hajikagoro

    Ubingwa wa VPL 2020/2021

    Mashibiki mbona haturidhiki?? Huyu kocha kosa lake ni lipi? Tatizo siku hizi kila mtu anajifanya mchambuzi wa soka.. Mwache kocha afanye kazi yake, hakuna anachoharibu hata kimoja mpunguze hulka!!
  10. hajikagoro

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Ole lawama zote zinamuangukia yeye...sijui ni kwa nini hawezagi kujiongeza, yaani hata sisi mashabiki tulikuwa tunajua kabisa yule Fred anakula umeme muda wowote nashangaa sana kuona kamrudisha 2nd half na bado kafanya makosa ya wazi refa anamuonya ila yeye OLE alihisi anacheza na southhampton...
  11. hajikagoro

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Na red juu, keshasepa na hela huyu boya kweli..
  12. hajikagoro

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Daaah Shanghai SIPG anafanya yake...!
  13. hajikagoro

    Kadogo, kazuri katamu Vs mtafutaji, mcha Mungu na mzembe wa kwichikwichi

    Basi kama ni hivyo weka ndani mwenye tako, hayo mengine vumilia tu...
Back
Top Bottom