Kaka, mimi nakuelewa sana tena sana kwa mtu ambae hajacheza aviator haweza kukuelewa nini unamaanisha.
Fanya yafuatayo:
1.Tia nia kuwa kuanzia leo naacha kamari
2.Chukuliaa hizo pesa ulizopoteza kuwa haikuwa ridhki yako
3.mtafute shekhe/pastor kwa imani yako akufanyiee moambi
4: Jikite kwenye...
Pia kwa wale wa ngazi ya degreee wakapitiee
1.Education assessment and evaluation
2.Professionalism and ethics in education
3.counsselling and special needs and education.
4.Curriculum development and evaluation.
6. Uwe vizuri kwenye massomo yako ya kufundisha japo hii ipo kwenye oral...
Dhana ya mafanikio ni pana sana, lakini nitajaribu kueleza kinagaubaga.
Mafanikio ni kukipata kilee kitu ambacho unakihitaji maishani mwako mfano kama ukikuwa unahitaji gari ukapamabna baada ya mda fulani ukafanikisha kununua gari basi utakuwa umefanikiwa
Mafanikio yamegawanyika katika nyanja mba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.