Hapana sio uchafu mtupu. Kakosea labda hajui... muelekeze vizuri tu mbona wote tuki safari ya kujifunza? Ukiona unajua kila kitu na huna cha kujifunza ujue siku zako duniani zimeisbia. Ukiona mtu ana mengi ya kujifunza ujue bado ana musa sana hapa
Nashukuru mabadiliko niliosikia. Hivi waziri mkuu yuko wapi?
Mungu asimamie haya maboresho yalete unafuu kwa wanadarisalama kiuchumi. Sio kupigia picha
Nitakuwa nakosea kuwaza kuwa theory ya Mungu unayoipinga ni zaidi inayojitokeza kutoka kwa watu wa mid east?
Ambao wanatumia vitabu maarufu kama biblia na Kurani?
Manake huyu Hawkings ndio alikuwa anazungumzia Mungu wa hivi vitabu. Wewe je?
There are people who read other poples writings and those who think observe and write.
You read to know what somebodys mind is like. You dont make it yours haraka haraka.
Take time use your capabilities to establish and know what you can geow above the writer.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.