Kuna mazingira ambayo yanalazimisha mtu kusoma shule ya bweni na kuna wengine wanaenda tu kwa mapenzi yao au maamuzi ya wazazi/ walezi.
Kwa mliobahatika kuishi maisha ya bweni ni matukio gani ya ajabu yamewahi kuwakumba au kuyashuhudia?
Kwa wafanyabiashara ambao hamjui vile mnaibiwa na wafanyakazi hata kama mmefunga camera.
Iko hivi, mteja akifika dukani atachagua vitu anataka, wakati wa kufanya malipo mfanyakazi asiyekuwa mwaminifu atamwambia gharama yake halisi mfano 200K kisha atamwambia anaweza kulipia 20K na risiti...
Nafurahi kuwa shabiki wa Hassan Mwakinyo akiwa ulingoni.
Huwa hakubali kushindwa kirahisi rahisi iwe ulingoni ama nje ya ulingo.
Mungu aniepushe nisije kuingia kwenye 18 za mdigo yeyote nikasutwa🤣🤣
Jeshi la Polisi mkoa wa Mtwara limesema kuwa, jana Desemba 30,2025 lilimfikisha Mahakamani Mathias Fabian John (25) kwa tuhuma za mauaji ya Samli Napone (42) aliyekuwa fundi ujenzi.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara linapenda kuujulisha umma kuwa tarehe 30.12.2025 lilimfikisha mahakamani mtuhumiwa...
Ukitizama michuano ya AFCON unapata ladha ya soka la Ulaya kwa kiasi kikubwa kutokana na aina ya wachezaji na team wanazochezea Ulaya.
Mfano kikosi cha timu ya Taifa ya Congo chote kinacheza soka la Ulaya kasoro Mayele pekee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.