Seat cover za rav4 dukani hakuna isipokuwa iwe loose cover uvalishe ya gari yoyote. Kama unataka ya kushonesha Mimi ni fundi. Ni tsh 190000. Nitafute 0713917472 nikutumie picha
Ukisoma biblia inasema uhai unakoma MTU anapokufa. Soma Mhubiri 9:5,10. MTU akifa anabaki kaburini anasubiri ufufuo, soma Yohana 5:28,29. Hivyo mtu akifa hakuna anakoenda ila ana baki kaburini anasubiri ufufuo
Wanaume wengi ni waoga, mwanamke mwenye elimu ya juu ni sawa na mwanamke mwenye elimu ya chini. Tabia mbaya haina elimu. Ila kiburi hujengwa na MTU mwenyewe bila kujali elimu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.