Recent content by Hafidhmussa95

  1. Hafidhmussa95

    Sandals za Kike na za kiume

    Nauza sandals za Kike na za kiume Kwa bei ya jumla na kawaida Cont : 0714028529 ( call / text / WhatsApp ) Instagram: #futureview_trendsandals
  2. Hafidhmussa95

    Fahamu megapixel ni nini na na inafanya nini katka picha

    Najua neno hili tunaliskia sana na kuliona kwenye camera zetu, lakini je tunajua lina maanisha nini Kabla ya megapixel (MP) inabidi kujua pixel ni nini Pixel ni viboksi vidogo vidogo ambavyo vinatumika katka kujenga picha Meg pixel (MP) ni mkusanyiko wa pixel milioni moja. Hapa vle vle uzuri...
  3. Hafidhmussa95

    Wauza smartphone tukutane hapa

    125k mwisho
  4. Hafidhmussa95

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Iphone4s Haina tatzo CONT:0655028881 Drop ur offer
  5. Hafidhmussa95

    Samatta Vs Beşiktaş

    Half time result
  6. Hafidhmussa95

    Nauza iphone5s

    Acha kua mshambaa ww Usichokijua uliza.
  7. Hafidhmussa95

    Kipengele cha Dark mode kwenye youtube.

    Kampuni ya google imethibitisha kwamba kipengele cha mandari ya Dark mode kwa watumiaji wa youtube kimeanza kupatikana Kwa kawaida muonekano wa youtube kwa muda wote umekua wa rang nyeupe Lakini mtumiaji atakua na chaguo aidha aweke nyeupe au nyeusi (Dark mode) Namna ya kuweka mandhari ya...
  8. Hafidhmussa95

    Njia rahisi za kujua sifa za computer yako

    Itakua umekosea type jarbu tena Ni msinfo32.
  9. Hafidhmussa95

    Njia rahisi za kujua sifa za computer yako

    Labda umekosea ku type Ni msinfo32 siyo msnifo32
  10. Hafidhmussa95

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Ipo iphone4s 5gb Nakupa na charger yake Tsh 135,000/=
  11. Hafidhmussa95

    Nauza iphone5s

    Yaaap
  12. Hafidhmussa95

    Njia rahisi za kujua sifa za computer yako

    Kuna mazoea ya kutumia kitu kwa mda mrefu bila ya kujua sifa zake Leo nitakueleza namna ya kujua sifa za computer yako Njia rahisi ya kujua sifa za computer yako Njia hii ni kwa computer zinazotumia mfumo wa Window na Mac MFUMO WA MAC Kwa wanaotumia computer za Mac Unachotakiwa kufanya ni ku...
Back
Top Bottom