Sote tunafahamu kuwa Mwanamke ni kiumbe maalumu katika Dunia hii Sawa?
Sote tunafahamu kuwa Mwanamke ni Kiumbe cha Pekee katika hii Dunia Sawa?
Sote tunafahamu kuwa Mwanamke ni Kiumbe chenye thamani katika hii Dunia Sawa?
Mungu alimuumba mwanamke ili awe wa thamani na sio thamani ya Mwanamke...
Na : ATHUMANI RUVULY
Binti mmoja ambaye alitokea katika Familia ya kimasikini sana, alifanikiwa kusoma kwa shida mpaka kufanikiwa kuwa mwanasheria. Alipata kazi nzuri, akaishi katika nyumba nzuri na ya kifahari sana .
Pamoja na maisha mazuri lakini binti huyo alifumba mambo na kufumbua upya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.