Umechanganua vizuri lkn hapo kwenye kiasi cha mavuno cha alizeti hapajakaa sawa kwa uzoefu alizeti chotara waweza toa 7 mpaka 12 gunia za 60 to 70kg na kwa mbegy opv 4 to 7 za 65 to 70kg.
Lkn pia faida ya alizeti ni ukikamua mafuta na sio kuuza kama grain.
Shida Tayari kunagap kati ya wawekezaji waarabu/wahindi , Wazungu na waafrika kwa maana ya Watanzania.. Lkn pia Bado wao naoneka a ni wajanja kuliko sisi.
Kwa udogo wangu wa uelewa nimekua nikifanya uchunguzi mdogo wa jinsi sekta ya madini inavyo watajirisha wageni na kutuachia mashimo na faida chache ya Kodi ambayo ukiifatilia bado ni ndogo ukilinganisha na thamani ya madini husika.
Tanzania tumebarikiwa madini mengi sana kama dhahabu...
Kwa udogo wangu wa uelewa nimekua nikifanya uchunguzi mdogo wa jinsi sekta ya madini inavyo watajirisha wageni na kutuachia mashimo na faida chache ya Kodi ambayo ukiifatilia bado ni ndogo ukilinganisha na thamani ya madini husika.
Tanzania tumebarikiwa madini mengi sana kama dhahabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.