Nimesikia kuna ugonjwa kwajina la HENIA, unaopatikana sehem kama vile juu ya kitovu, nikauvimbe fulani kanauma sana, je nisababu gani inayopelekea ugonjwa huu????
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila inategemea kama utakosa nafasi chuo utapangwa advance ila kwacombi husika uliyoijaza wewe kulingana naufaulu wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha!! Kijana kama uliomba first choise chuo lazima watakupanga kama kunnafasi. Na kama watakupanga chuo uwezekano wakuhamia tena advance hakuna, labda ukatae chuo uende advance privata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaman huyu dadaangu nimpeleke cozi gani katika ngazi ya cheti?? Civic D, english D, kishwahil C, bioz D, chemistry D, math F and physi F. Naomben ufafanuzi je? Anaweza kuapply kweny cozo gani
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ndo nilikua napataka, mimi ndo namaliza mwaka huu certificate yakilimo. Nimeona hii secta kwasasa haina soko, sasa niambie nijitahid nipate ufaulu gani ili niweze kujiunga na vyuo vya maji diploma. Kunakoz naipenda, WATER SUPPLY AND SANITATION ENGINERING. je uwezekano wa kujichanganya huko...
Naombeni ufafanuzi wadau, nimemaliza cheti cha kilimo(certificate) nataka nihame cozi katika ngazi yadiploma nisomee kitu kingine, je nisomee nini???
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.