we sasa unahamasisha uzinzi mashuleni,mwanao wa kike akikuomba ruhusa akapigwe sindano ya kuzuia mimba akiwa darasa la saba au form two utajisikiaje? au ukisikia walimu wanawagawia kondomu wanafunzi,na mwanao kapewa,utajisikiaje
we mbaba ni mkoloni kwelikweli,wala watoto wako hawatanii kukueleza hilo.suala la ajali,unaweza usiende tour,na bado akabaki shuleni akaangukiwa na mti au shule ikaungua.kikubwa tu ni kuwaombea watoto wetu Mungu awalinde na sio kuwanyima haki zao za msingi
Bwana Yesu alipokutana na watu waliotaka kumpiga mawe yule mwanamke mzinzi,aliinamisha kichwa chake akachorachora chini kisha akawaambia" ambaye hajawai kutenda dhambi na awe wa kwanza kumtupia jiwe" alipoinua kichwa chake akakuta wote wametawanyika
kwa hiyo viongozi wakuu wetu kama mawaziri,wakuu wa mikoa,wilaya na wabunge wanaruhusiwa kufoji vyeti kwa kuwa tu wanajua kusoma na kuandika?hawatakiwi kuhakikiwa licha ya dhamana kubwa waliyonayo? tukumbuke hawa ndio watunga sera za nchi,wanaotunga sheria za nchi,kujadili bajeti ya nchi nk
Tazama,NIMEWAPA AMRI ya kukanyaga nge na nguvu zote za yule adui,wala hakuna kitu kitakachowadhuru.Luka 10:19. pia Yohana 14:12 imeandikwa,"amin,amin nawaambieni,Yeye aniaminiye mimi,KAZI NIZIFANYAZO mimi,yeye naye ATAZIFANYA,naam na kubwa kuliko hizo atafanya.pia Marko 16:17 "na ishara hizi...
na anachong'ang'ania hasa kuishi hapa nchini ni kitu gani!! ningekuwa mie ndio Manji,ningeamisha makazi hapa Tanzania,nikaishi zangu hata Afrika kusini
kuwa muwazi tu,hayo maombi yao yanakufanya ushindwe kuruka usiku kuwachezea wenzako au wanga wenzako washindwe kukutembelea usiku,au kufanya kikao chenu cha kubeba watoto wachanga,na inavyoonekana wewe ndio utakuwa mkuu wao,kuwa mkweli tu wamekuaribia program zako
Makonda,tunakushukuru sana,usikatishwe tamaa na maneno ya wasiolitakia mema taifa letu,wanaotanguliza urafiki mbele badala ya kazi.mapambano ni magumu,ila pambana bila kuchoka,tunakuweka kwenye maombi,tunakufunika kwa maombi,hata Yusufu ndugu zake walipanga kumuangamiza,ila siku ya mwisho akawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.