Tungekua na jeshi dhaifu Serikali ingekuwa imeshapunduliwa na M23 tarehe 29 October 2025 ila jeshi letu lilicheza michezo wanayoipenda mwisho wa siku hata baba yao kagame akasusa kutoa pongezi kwa Dr Samia aliishia kusema anaunga mkono mapinduzi viva TPDF.
Kenya kinachowasumbua ni ukabila hii ya finance bill Gen Z geresha Tu,nchi kama TZ watu wataandamana kama umoja na mshikamano wetu wa kitaifa utayumba ila tofauti na hapo sahau.Hiyo finance bill kila bajeti huwa naonaga zinapandaga tu hata TZ tumeongeza kodi hadi kwa Gen Z kwenye source zao za...
Nimeona pia clip moja kwa Chahali Chief wa Buha,Kigoma akiongelea himaya yao akiwa Uganda katika ofisi ya mshauri wa rais Museven na wanashangiliana kabisa kwa makofi.
Mheshimiwa Rais sijui analichukuliaje hili suala Mzee Kikwete Ali take action tukawa shwari ila hawamu ya mwendazake ndio yalishamiri ikafika hatua ya kuleta wataalam wa IT toka Kigali na kupeleka treni ya umeme kabisa tena tukawa tunaharakishwa mambo yasichelewe.
Naunga mkono Serikali kuongezea watumishi mishahara wamekaa miaka sita bila nyongeza, wasiishie kwa wabunge tu watumishi wote wakumbukwe wamekaa muda bila nyongeza wala kupanda madaraja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.