Na inabidi tuishi hivi mpaka akili iwakae sawa maana nchi nyingi Duniani zinaishi ki ubabe na utawala wa mkono wa chuma Tanzania tumechelewa sana kuishi maisha haya ndio maana unaona mambo yanaenda Sasa ivi. Kokote utakosifu Maendeleo Duniani jua Kuna umafia wanaufanya tena wa kutisha au...
Hata waandamanaji ni Christian kutoka kanisani kwa Gwajima na Wakatoliki Wacha Mashekh Mapanya road na Mbwamwitu wailinde amani maana ya Uislam ni amani.
Kila kitu kinapangwa na watu kama tunavyokubaliana Mungu ndio muumba na anaendesha maisha yetu ya kila siku basi na sisi binadamu wapo binadamu wenye uwezo wanaotupangia mambo yetu.
NB Tarehe 7 usiandamane.
Haya anayofanya Mwaipopo ndio anayofanya Gwajima kanisani kwake mbona Gwajima akamatwi? Mwaipopo aachwe hakuna asiejua michezo michafu tarehe 7 wacha kiwake Serikali isiingilie tupasuane wenyewe kwa wenyewe kwanza kati ya wapenda vurugu na wapenda amani.
Mbona wabara ndio tunaongoza kwa kuwabagua Wa Zanzibar mada nyingi kwenye mitandao ya kijamii ni za kukataa muungano na kuwabeza Wa Zanzibar nchi yetu sote hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.