Recent content by haa mym

  1. haa mym

    JamiiForums Tanzania Pamoja na kuchangiwa Bilioni 200 bado ameshindwa ushawishi na Mange Kimambi

    Na inabidi tuishi hivi mpaka akili iwakae sawa maana nchi nyingi Duniani zinaishi ki ubabe na utawala wa mkono wa chuma Tanzania tumechelewa sana kuishi maisha haya ndio maana unaona mambo yanaenda Sasa ivi. Kokote utakosifu Maendeleo Duniani jua Kuna umafia wanaufanya tena wa kutisha au...
  2. haa mym

    JamiiForums Tanzania Pamoja na kuchangiwa Bilioni 200 bado ameshindwa ushawishi na Mange Kimambi

    Hakuna kiongozi anaependwa ukiona we kiongozi na unapendwa sana jua we una walakini tu.
  3. haa mym

    JamiiForums Tanzania Pamoja na kuchangiwa Bilioni 200 bado ameshindwa ushawishi na Mange Kimambi

    Hakuna Rais anaechaguliwa na wananchi Duniani Bali Mungu ndio humpa amtakaye kama mlisusa uchaguzi ili kumkwamisha tusubiri 2030.
  4. haa mym

    JamiiForums Tanzania Sheikh Mwaipopo: Tuna kundi la vijana 38,000 wanaojiita "Mbwa Mwitu". Ukiandamana Sabasaba wanapita na maini yako

    Hata waandamanaji ni Christian kutoka kanisani kwa Gwajima na Wakatoliki Wacha Mashekh Mapanya road na Mbwamwitu wailinde amani maana ya Uislam ni amani.
  5. haa mym

    JamiiForums Tanzania Sheikh Mwaipopo: Tuna kundi la vijana 38,000 wanaojiita "Mbwa Mwitu". Ukiandamana Sabasaba wanapita na maini yako

    Waliofanya vurugu October 29 walijipanga kufanya vurugu zile safari hii atucheki na mfanya vurugu Shekh Mwaipopo alindwe.
  6. haa mym

    JamiiForums Tanzania Hili ndio kanisa la Mashoga la Mtakatifu Sergius na Bacchu

    Kanisa katoliki limebariki ndoa za jinsia Moja yaani usagaji na kuzibuana mitaro ruksa.
  7. haa mym

    JamiiForums Tanzania Samahani Rais, Unajisikiaje unapokula nyama, ama unapokaa na Watoto na Wajukuu zako?

    Kikubwa tufuate Sheria na tuheshimu mamlaka.
  8. haa mym

    JamiiForums Tanzania Je, ni Kweli Tayari Imeshapangwa Portugal achukue World Cup 2026?

    Kila kitu kinapangwa na watu kama tunavyokubaliana Mungu ndio muumba na anaendesha maisha yetu ya kila siku basi na sisi binadamu wapo binadamu wenye uwezo wanaotupangia mambo yetu. NB Tarehe 7 usiandamane.
  9. haa mym

    JamiiForums Tanzania Nimepewa maono, Sheikh Mwaipopo unafuata kama ilivyokuwa kwa Sheikh Majini

    Haya anayofanya Mwaipopo ndio anayofanya Gwajima kanisani kwake mbona Gwajima akamatwi? Mwaipopo aachwe hakuna asiejua michezo michafu tarehe 7 wacha kiwake Serikali isiingilie tupasuane wenyewe kwa wenyewe kwanza kati ya wapenda vurugu na wapenda amani.
  10. haa mym

    JamiiForums Tanzania Zelenskyy amekataa wito wa kumaliza vita

    Alitaka vita akomae nayo Sasa.
  11. haa mym

    JamiiForums Tanzania Mtu kipenyo, anaona ufahari kuua watu! Watanganyika wenzake

    Siasa kali za Kibiti we unaziunga mkono? Hii nchi sio ya kidini tujifunze kufuata Sheria
  12. haa mym

    JamiiForums Tanzania Nasra: Wazanzibari kudai haki yao sio ubaguzi

    Mbona wabara ndio tunaongoza kwa kuwabagua Wa Zanzibar mada nyingi kwenye mitandao ya kijamii ni za kukataa muungano na kuwabeza Wa Zanzibar nchi yetu sote hii.
  13. haa mym

    JamiiForums Tanzania Uraia Pacha wa Maria Sarungi: Hungary na Tanzania

    Hakuna shida kila mmoja shinde zake.
  14. haa mym

    JamiiForums Tanzania Uraia Pacha wa Maria Sarungi: Hungary na Tanzania

    Ila raia wa Hungary ndio ana uchungu na Tanzania?
  15. haa mym

    JamiiForums Tanzania Napata utata kuhusu video za Humphrey Polepole

    Kwenye maisha utakiwi kutumia hisia bali uhalisia wa mambo hapa ndipo tunapowapoteza vijana wengi wanadanganyana sana.
Back
Top Bottom