Recent content by haa mym

  1. haa mym

    JamiiForums Tanzania Kuhusu ujio wa Rio Ferdinand nchini, nani yuko sahihi kati ya Musukuma na Makonda?

    Makonda yupo sahihi ujio wa Drogba na Rio umeifanya nchi yetu izidi kujulikana kwenye michezo kimataifa zaidi na mwakani tuna host Afcon lazima Dunia itujue namba gani tunathamini michezo na tunaipenda Shospeed alikuja Kenya wanaharakati walilia kwanini asije bongo now tukiwaleta mastaawa Dunia...
  2. haa mym

    JamiiForums Tanzania Live on TBC: Ridhiwani Kikwete yuko live, anaongea kama Jakaya Kikwete. Like father like son, atatufaa sana in future baada ya zamu yetu!

    Ikifika zamu yetu baada ya Lutheran kutoka anatufaa sana.
  3. haa mym

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Oktoba 29: Siku ambayo Tanzania iliona kivuli cha Rwanda — lakini bado hatutaki kujifunza”

    Vurugu za October zilitokana na Udini,Ukanda na Ukabila mwalimu Nyerere alitukemea sana juu ya kubaguana
  4. haa mym

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Oktoba 29: Siku ambayo Tanzania iliona kivuli cha Rwanda — lakini bado hatutaki kujifunza”

    Mbona Uganda wamejiunga na OIC Tanzania shida Iko wapi tusikatae Udini wakati upo hili ndio zimwi kubwa Tanzania kuliko Siasa tusidanganyane.
  5. haa mym

    JamiiForums Tanzania Daaaa! Nimekumbuka viburi vya Job Ndugai na Hayati Magufuli dhidi ya upinzani hasa CHADEMA

    Na walikifurahia kifo cha Rais Magufuli nachukia sana Leo hii kina Maria,Mange wanajifanya Wana upendo na hii nchi mbona kipindi cha Magu hawaku msapoti.
  6. haa mym

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Oktoba 29: Siku ambayo Tanzania iliona kivuli cha Rwanda — lakini bado hatutaki kujifunza”

    Nguvu iliyotumika kuzima uasi wa kidini na kigaidi ndio nguvu hiyohiyo itumike kuzima uasi huu pia. Rais sio lazima apendwe na kila mtu hao akina Kagame,Mseveni wanaishi miaka na miaka kwa nguvu ya Bunduki sio kama wanapendwa.Tanzania tunautaratibu mzuri wa kubadilishana uongozi hatuwezi kuuacha...
  7. haa mym

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Oktoba 29: Siku ambayo Tanzania iliona kivuli cha Rwanda — lakini bado hatutaki kujifunza”

    Tanzania hatutaki vita ya wenyewe kwa wenyewe tumevikataa ila Kuna baadhi ya viongozi wa Dini wanashawishi waumini wao wafanye mambo ya hovyo kisa Rais Muislam haya yaliyotokea Kibiti,Mkuranga,Rufiji,Amboni Tanga na kule Mtwara watu walihamasishana misikitini Magufuli sio Muislam na wakaanza...
  8. haa mym

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Oktoba 29: Siku ambayo Tanzania iliona kivuli cha Rwanda — lakini bado hatutaki kujifunza”

    Mbona Waislam wanakataliwa kupokea fedha toka nchi za kiarabu OIC?
  9. haa mym

    JamiiForums Tanzania Ninataka kujiondoa JF kutokana na uhaba wa watu wenye akili kubwa siku za hivi karibuni

    Watu Wana stress afu wanakuja kumalizia mtandaoni.
  10. haa mym

    JamiiForums Tanzania Je, ni Dkt. Samia ndio haliamini Jeshi au kuna hali ya hatari ndani ya Jeshi?

    Tungekua na jeshi dhaifu Serikali ingekuwa imeshapunduliwa na M23 tarehe 29 October 2025 ila jeshi letu lilicheza michezo wanayoipenda mwisho wa siku hata baba yao kagame akasusa kutoa pongezi kwa Dr Samia aliishia kusema anaunga mkono mapinduzi viva TPDF.
  11. haa mym

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Serikali imeshalipa fedha za miradi, wakandarasi waliokimbia bila kulipa wafanyakazi watafutwe na wakamatwe

    Miradi mingi mkandarasi yupo site miradi gani mkandarasi ameitelekeza?
  12. haa mym

    JamiiForums Tanzania GEN Z kizazi kilichobarikiwa sana

    Kenya kinachowasumbua ni ukabila hii ya finance bill Gen Z geresha Tu,nchi kama TZ watu wataandamana kama umoja na mshikamano wetu wa kitaifa utayumba ila tofauti na hapo sahau.Hiyo finance bill kila bajeti huwa naonaga zinapandaga tu hata TZ tumeongeza kodi hadi kwa Gen Z kwenye source zao za...
  13. haa mym

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mgombea Urais wa CCM 2030 lazima awe kijana with zero corruption status. Je, ni nani kati ya hawa?

    Bora ajazaye magereza kwa kufuata Sheria za nchi na katiba kuliko apigaye wenzie risasi na kukanyaga katiba ya nchi.
Back
Top Bottom