Recent content by haa mym

  1. haa mym

    Ninataka kujiondoa JF kutokana na uhaba wa watu wenye akili kubwa siku za hivi karibuni

    Watu Wana stress afu wanakuja kumalizia mtandaoni.
  2. haa mym

    Je, ni Dkt. Samia ndio haliamini Jeshi au kuna hali ya hatari ndani ya Jeshi?

    Tungekua na jeshi dhaifu Serikali ingekuwa imeshapunduliwa na M23 tarehe 29 October 2025 ila jeshi letu lilicheza michezo wanayoipenda mwisho wa siku hata baba yao kagame akasusa kutoa pongezi kwa Dr Samia aliishia kusema anaunga mkono mapinduzi viva TPDF.
  3. haa mym

    Mwigulu: Serikali imeshalipa fedha za miradi, wakandarasi waliokimbia bila kulipa wafanyakazi watafutwe na wakamatwe

    Miradi mingi mkandarasi yupo site miradi gani mkandarasi ameitelekeza?
  4. haa mym

    GEN Z kizazi kilichobarikiwa sana

    Kenya kinachowasumbua ni ukabila hii ya finance bill Gen Z geresha Tu,nchi kama TZ watu wataandamana kama umoja na mshikamano wetu wa kitaifa utayumba ila tofauti na hapo sahau.Hiyo finance bill kila bajeti huwa naonaga zinapandaga tu hata TZ tumeongeza kodi hadi kwa Gen Z kwenye source zao za...
  5. haa mym

    PreGE2025 Mgombea Urais wa CCM 2030 lazima awe kijana with zero corruption status. Je, ni nani kati ya hawa?

    Bora ajazaye magereza kwa kufuata Sheria za nchi na katiba kuliko apigaye wenzie risasi na kukanyaga katiba ya nchi.
  6. haa mym

    Kwanini wakimbizi walioingia nchini kinyemela, wote waonekana kuwa na akili kubwa hakuna mapoyoyo

    Nimeona pia clip moja kwa Chahali Chief wa Buha,Kigoma akiongelea himaya yao akiwa Uganda katika ofisi ya mshauri wa rais Museven na wanashangiliana kabisa kwa makofi.
  7. haa mym

    Kwanini wakimbizi walioingia nchini kinyemela, wote waonekana kuwa na akili kubwa hakuna mapoyoyo

    Mheshimiwa Rais sijui analichukuliaje hili suala Mzee Kikwete Ali take action tukawa shwari ila hawamu ya mwendazake ndio yalishamiri ikafika hatua ya kuleta wataalam wa IT toka Kigali na kupeleka treni ya umeme kabisa tena tukawa tunaharakishwa mambo yasichelewe.
  8. haa mym

    Je, Ethiopia kujiunga Jumuiya ya Afrika Mashariki kutaharibu au kuimarisha jumuiya hiyo?

    Tuanze kwa kupeleka amani Kongo,tuingie Central Africa Republic then Ethiopia tutamfikia.
  9. haa mym

    DPW halazimiki kuajiri wazawa wala kurithi wafanyakazi; watu wa TPA someni sheria na mkataba kabla hamjaacha kazi

    Mbona Bandari zipo nyingi tu wakaongeze ufanisi Bandari ya Tanga au Mtwara.
  10. haa mym

    Mbowe: Wabunge wamejiongezea Mishahara Kutoka Tsh milioni 13 za awali na sasa wanalipwa Tsh milioni 18 kwa mwezi mbali na posho

    Naunga mkono Serikali kuongezea watumishi mishahara wamekaa miaka sita bila nyongeza, wasiishie kwa wabunge tu watumishi wote wakumbukwe wamekaa muda bila nyongeza wala kupanda madaraja.
  11. haa mym

    Ni nani ameruhusu maigizo kama haya Ikulu?

    Kwani muuza madafu kuingia Ikulu ni Zambia? Hii nchi yetu sote hongereni Serikali kwa tutambua uwepo wa wajasili amali.
  12. haa mym

    Express air cargo China to Tanzania

    Nikilipa hizo gharama maana yake nakuja kuchukua tu mzigo ofisini kwenu au kuna tozo zingine?
Back
Top Bottom