Makonda yupo sahihi ujio wa Drogba na Rio umeifanya nchi yetu izidi kujulikana kwenye michezo kimataifa zaidi na mwakani tuna host Afcon lazima Dunia itujue namba gani tunathamini michezo na tunaipenda Shospeed alikuja Kenya wanaharakati walilia kwanini asije bongo now tukiwaleta mastaawa Dunia...
Na walikifurahia kifo cha Rais Magufuli nachukia sana Leo hii kina Maria,Mange wanajifanya Wana upendo na hii nchi mbona kipindi cha Magu hawaku msapoti.
Nguvu iliyotumika kuzima uasi wa kidini na kigaidi ndio nguvu hiyohiyo itumike kuzima uasi huu pia. Rais sio lazima apendwe na kila mtu hao akina Kagame,Mseveni wanaishi miaka na miaka kwa nguvu ya Bunduki sio kama wanapendwa.Tanzania tunautaratibu mzuri wa kubadilishana uongozi hatuwezi kuuacha...
Tanzania hatutaki vita ya wenyewe kwa wenyewe tumevikataa ila Kuna baadhi ya viongozi wa Dini wanashawishi waumini wao wafanye mambo ya hovyo kisa Rais Muislam haya yaliyotokea Kibiti,Mkuranga,Rufiji,Amboni Tanga na kule Mtwara watu walihamasishana misikitini Magufuli sio Muislam na wakaanza...
Tungekua na jeshi dhaifu Serikali ingekuwa imeshapunduliwa na M23 tarehe 29 October 2025 ila jeshi letu lilicheza michezo wanayoipenda mwisho wa siku hata baba yao kagame akasusa kutoa pongezi kwa Dr Samia aliishia kusema anaunga mkono mapinduzi viva TPDF.
Kenya kinachowasumbua ni ukabila hii ya finance bill Gen Z geresha Tu,nchi kama TZ watu wataandamana kama umoja na mshikamano wetu wa kitaifa utayumba ila tofauti na hapo sahau.Hiyo finance bill kila bajeti huwa naonaga zinapandaga tu hata TZ tumeongeza kodi hadi kwa Gen Z kwenye source zao za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.