Recent content by gyration

  1. G

    Mzoefu wa Alibaba.com anisaidie hili

    Naomba mwenye uzoefu na mtandao wa kuoda bidhaa toka China wa Alibaba anisaidie kuaminika kwake.
  2. G

    Anachofanya Waziri Mkuu sio sawa, sio haki, sio Good Governance! Ni udhalilishaji na kuaibishana!

    Kama ww ni kiongozi makini, makontena zaidi ya 2000 yapotee halafu unaulizwa unasema iko pooa tu. Mueleze kuna matatizo, tunayafanyia kazi. Hapo hata mkuu anakua hana la kusema. Wadhalilike tu kwani hamna namna. Pia hawafokei anawaeleza ukweli.
  3. G

    Kubenea aibua Ufisadi wa Billion 1.2

    Kubenea huyuhuyu aliyemnyima Edo Urais kwa kumkashifu. Alipooana anambeba yy akajaribu kumsafisha. Kashindwa.
  4. G

    Hongereni Zitto na Kingu kwa kukataa posho kandamizi kwetu

    Hii nzuri. Hata wasipojitangaza wao, sisi tuwatangaze. Wamekuwa 4 sasa, kumbe inawezekana.
  5. G

    UKAWA sasa mpo tayari kufuta posho za wabunge kupunguza matumizi ya serikali?

    Hatuhangaiki lakini hivi inaingia akilini mshahara wa mwezio wa mwezi ww uupate kwa siku moja kwa kutofanya lolote la ajabu? Qualification za chini za mbunge wa Tanzania hata dereva wa serikali kamzidi.
  6. G

    UKAWA sasa mpo tayari kufuta posho za wabunge kupunguza matumizi ya serikali?

    Aiseee. Umesema ukweli kabisa. Ila ukitaka kuonyesha uzalendo wa kweli wafanye hili. Zitto na Kingu wameandika barua kjtopokea hizo posho. Zitto alianza toka bunge la 10 akaitwa msaliti. Siku hizi neno msaliti naogopa hata kulitumja, maana yake inabdilika mnoo.
  7. G

    Mkuu wa Wilaya awasweka rumande Maofisa Ardhi na Mipango Miji Kinondoni

    Makonda toka anaingia ofisini aliahidi kudeal na tatizo la ardhi kinondoni. Amesimamia. Hata kama kavunja taratibumila nia inajulikana ni sawa na kuingia ofisini jumapili kuhakikisha unamalizia majukumu yamo ipasavyo.
  8. G

    Hongereni Zitto na Kingu kwa kukataa posho kandamizi kwetu

    Hizi ni habari njema kwa wabunge 2 toka vyama viwili tofauti kukubaliana kwenye jambo 1 la msingi, kukataa posho kandamizi kwetu wananchi. Mnastahili pongezi. Nawashauri muwapo bungeni mkiweza vaeni aina fulani ya sare tofauti na mavazi ya kawaida ili kila mmoja akiwaona na akiuliza sababu ya...
  9. G

    Tamko la jukwaa huru la wazalendo kuhusu posho za Wabunge na baadhi ya Taasisi

    Mkiweza watajeni majina wote waliomkebehi Mh. Kingu na Mh. Zitto. Naomba waheshimiwa hawa watoe majinaama namba za wabunhe wenzao zilizowakebehi ili wapenda maendeleo tuujue ukweli. Hii nchi inaliwa na watunga sheria wenyewe. Tunawaunga mkono kwa asilimia mia.
  10. G

    UKAWA sasa mpo tayari kufuta posho za wabunge kupunguza matumizi ya serikali?

    Napenda kuwashauri CHADEMA waje na msimamo kuhusu hiii inayoitwa Sitting allowance kwa wabunge. Nasema hilo kwa kuwa naona kasi ya Magufuli si ya mchezo, atawapoteza kwa kufanya yale yoote yaliyosababisha wananchi wakose imani kwa CCM. Nawaomba CHADEMA waliwahi hili na kuikataa hii posho. The...
  11. G

    Mwenge wa Uhuru upo kwa faida ya nani?

    Jamani mwenge sio jambo la kuingiza kipato. Ni kweli kuna gharama ambazo naamini mara nyingi zinaonekana kubwa kwani ujanjaujanja umekuwepo sana miongoni mwetu. Sipingi kudhibiti gharama lakini kama symbol ya utaifa wetu, umoja wetu na uzalendo wetu sioni umuhimu wa kuziondoa mbio hizi. Mwenge...
  12. G

    Chama Cha Mapinduzi(CCM) champongeza Ndg. Elibariki Kingu, mbunge wa Singida Magharibi

    Hazirudi hazina. Amefanya kama mawazo yako yalivyo. Zitatumika jimboni mwake.
  13. G

    Dr. Magufuli na usanii wa Hospitali kuu ya Taifa Muhimbili

    Rais husaini hukumu za kifo ili zitekelezwe ashindwe vijimambo vidogo hivi?
  14. G

    Kikwete a smart Man that I know

    Ni kweli. Huwezi kutatua matatizo kama huna maono na roho haikuumi. Magufuli ataweza tu.
  15. G

    Elimu za viongozi wa nchi

    Nakubaliana na ww Kishindo, lakini ikitokea ukamoata mwenye elimu na mwenye uwezo wa kuongoza inakuwa poa sana. Naamini asiekua na elimu bora ni rahisi mno kudanganyika.
Back
Top Bottom