Aisee una ujasiri zaidi ya Adolf Hitler. Hakikisha kwanza kuna mtu wa kukuhudumia baada ya hapo kukukumbusha kumeza dawa, kukufulia nguo kukupa mlo kamili. Sio baadae unaanza kulaumu eti ndugu zako wamekutenga
Wakati watu wakiandika mambo ya msingi waliyopitia maishani mwao mimi kilichonitesa since class 5 ni kuota chuchu kama za vibinti hii ilinitesa saana zaidi yani mana iliniathili pakubwa sana mfano
Kuchekwa
Kuwa mtu wa kushika tama
Kukosa kujiamini
Kuwa anti social, sijui mnaita introvert...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.