Kijana ushe2
Senior Member
- Apr 6, 2017
- 176
- 122
Habari za asubuhi wanajf wenzangu
Awali ya yote namshukuru MWENYEZI MUNGU kwa kunijalia kuwa SALAMA wa AFYA. Nimenunua eneo la makazi kwa muuzaji ambae hapo awali walielewana na mtu kimdomo bila maandishi na akapewa hela laki 1 (NILIKUWA SIFAHAMU KUHUSU HYUO MUNUNUZI )
Baadae wakawa wanatafuta wa KUNUNUA nikaenda tutaelewana Bei nikaenda kwa NWENYEKITI WA KITONGOJI tukaandikishana na mashahidi wakawepo ambao walishuhudia tukiuziana jumla tulikuwa 8 kwa kutumia mkataba mihuri na passport tukabandika
Sasa baadae yule mama akaenda kumlipa laki 1 yule jamaaaa akaenda kushitaki KWA MTENDAJI WA KIJIJI )WAMEUZA ENEO AMBALO WALIKUWA WAMEELEWANA TANGU MWANZO LAKINI HAWAKUANDIKISHANA POPOTE PALE MTENDAJI AKANITAFUTA AKANIAMBIA HAPO UMEZIWA ENEO AMBALO WALIKUWA WAMESHAELEWANA WAAMBIE AKINA MAMA WAKURUDISHIE HELA NAMI NIKAMWAMBIA HAPANA LILE ENEO NI MALI YANGU NYARAKA ZOTE NINAZO
AKANIAMBIA haliwezekani
MWENZAKO alitoa pesa mwanzo baadhi halafu wewe umeenda kuelewana Mara ya pili na akawalazimisha wale mamama wasubirie tarehe 15/2/ wakalipwe hela yao ya kukamilishia nami
NAOMBA USHAURI MIMI NILIWALIPA HELA YOTE NIFANYEJE SASA HAPO ILI ARDHI YANGU IWE SALAMA??
Sent using Jamii Forums mobile app
Awali ya yote namshukuru MWENYEZI MUNGU kwa kunijalia kuwa SALAMA wa AFYA. Nimenunua eneo la makazi kwa muuzaji ambae hapo awali walielewana na mtu kimdomo bila maandishi na akapewa hela laki 1 (NILIKUWA SIFAHAMU KUHUSU HYUO MUNUNUZI )
Baadae wakawa wanatafuta wa KUNUNUA nikaenda tutaelewana Bei nikaenda kwa NWENYEKITI WA KITONGOJI tukaandikishana na mashahidi wakawepo ambao walishuhudia tukiuziana jumla tulikuwa 8 kwa kutumia mkataba mihuri na passport tukabandika
Sasa baadae yule mama akaenda kumlipa laki 1 yule jamaaaa akaenda kushitaki KWA MTENDAJI WA KIJIJI )WAMEUZA ENEO AMBALO WALIKUWA WAMEELEWANA TANGU MWANZO LAKINI HAWAKUANDIKISHANA POPOTE PALE MTENDAJI AKANITAFUTA AKANIAMBIA HAPO UMEZIWA ENEO AMBALO WALIKUWA WAMESHAELEWANA WAAMBIE AKINA MAMA WAKURUDISHIE HELA NAMI NIKAMWAMBIA HAPANA LILE ENEO NI MALI YANGU NYARAKA ZOTE NINAZO
AKANIAMBIA haliwezekani
MWENZAKO alitoa pesa mwanzo baadhi halafu wewe umeenda kuelewana Mara ya pili na akawalazimisha wale mamama wasubirie tarehe 15/2/ wakalipwe hela yao ya kukamilishia nami
NAOMBA USHAURI MIMI NILIWALIPA HELA YOTE NIFANYEJE SASA HAPO ILI ARDHI YANGU IWE SALAMA??
Sent using Jamii Forums mobile app