Turudi kwenye mifano niliokupa hapo kwenye stori za maandiko; we unadhani mke wa Uria mhiti (Mama wa Suleiman) alikuwa na tatizo gani nafsini mwake!!?
Sometimes unakutana na malaya ili azaliwe SULEIMAN. Kwa matumizi ya law of attraction WEWE hupaswi kuchapa malaya sababu tayari una-attract...
Kwa wakristo ukisoma ukoo wa Yesu kwenye kitabu cha Mathayo kuna majina yako kwenye ukoo alafu background yao ni makahaba au malaya kama alivyoandika mwandishi mf. kuna jina Rahabu, Mke wa Uria (Mama wa Suleiman), na kuna mwanamke aliitwa Tamari.
Hakuna uhusiano wowote wa kufa kiroho au kubeba...
Swali la msingi sana hili; na binafsi nilipokuwa nafatilia uzi wa mwandishi nilitegemea mwisho atupe recommendations kama legend graduates wao ilikuaje wana hizo skills!!!
Hayati B.W
Mkapa alikuwa mwamahabari by professional hivyo kwake midahalo ilikuwa ni sehemu ya maisha; ni tofauti na mtu kama hayati JPM ambae by professional alikuwa anashinda maabara. Ila lugha sidhani kama ni kipaumbele sana wapo marais wa mataifa makubwa duniani hawaongei "English" la...
Imekuwa kadhia siku hizi eti nchini kwako ni lazima usafiri ukiwa na nyaraka zinazothibitisha wewe ni raia; tulisimamishwa Chalinze pale na hao makonstebo wakaomba kila mtu atoe kitambulisho cha taifa... ilikuwa fujo kwenye gari wengi hawana ufahamu kwamba ni lazima uwe na utambulisho safarini...
Sasa unataka kutuambia yule dada aliemuua mama ake Moshi kwa kushirikiana na mganga nae ni msukuma au ni kutoka kanda ya ziwa!!? Ebu fatilia vizuri visa vya waganga wa kienyeji kabla hujaconclude kiukanda, ushirikina upo maeneo yote primitive na ambayo hayana mchanganyiko mkubwa wa watu. Alaf...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.