Recent content by gwino

  1. gwino

    Wimbo mpya wa Darassa ft Ben Pol - Muziki (Official Music Video)

    Sio maneno ya kwenye kanga watu wanafanya muziki, wanaudai muziki keep up Darasa
  2. gwino

    Kuwa makini na EXPAT LINKERS CO. LTD ni utapeli

    siku hizi interview inalipiwa?
  3. gwino

    Zanzibar yalipuka ujio wa Dr. Magufuli na Mama Samia

    Wamevunja rekodi ya kuwa na mabango na vipeperushi
  4. gwino

    Tume ya uchaguzi NEC imeuza taarifa za wapiga kura kwa mgombea wa CCM!

    nafikiri hili suala lisiishie hapa,hatua zaidi zichukuliwe hata idhihirike michezo inayofanywa na CCM & NEC
  5. gwino

    First lady Regina ndani ya Arusha Mjini

    inaonekana hamjajifunza kutoka kwa kombani.katangulia kamuacha Lowasa akimwaga sera kwenye majukwaa
  6. gwino

    Timu ya kampeni ya Dr. Magufuli yasambaratika

    25 oct ni kuchagua #Mabadiliko full stop
  7. gwino

    Lowassa aibuka kidedea calabash pub mwenge.

    walitangaza hakutakuwa na mgao wa umeme tena.uongo ni jadi yao hawa jamaa tunahitaji #Mabadiliko
  8. gwino

    Mdahalo wa wagombea urais ufanyike kwa English

    the saddam ee the president the kuwait.najaribu kufikiria kwa sauti itavyokuwa
  9. gwino

    Tume ya Uchaguzi; Kama hamko na CCM katika hoja hizi, Mnapaswa kutoka na kukemea!

    Ccm wanahangaika sana kwenye social network wakifikiri itawaboost
  10. gwino

    Humphrey Polepole, vipi Katiba Mpya huihitaji tena!?

    Kinachonishangaza ni huyu bwana kudai kutokuridhishwa na hatua ya UKAWA kumkaribisha EL ambaye alikuwa hasapoti rasimu ya Warioba wakati yeye kaikumbatia CCM na JPM ambao wameibwaga rasimu ya Warioba.
  11. gwino

    Akiwa waziri mkuu saruji ilipanda bei kutoka Tshs 9300/= hadi Tshs 26,000/=

    hebu tujuze pia kikwete alipoingia ikulu cement ilikuwa bei gani
  12. gwino

    Ridhiwani Kikwete, Hii kampuni ni yako?

    kweli kabisa mkuu Rizone yuko tofauti sana na Makongoro
  13. gwino

    Ridhiwani Kikwete, Hii kampuni ni yako?

    hebu tusaidie hapo kwenye red
Back
Top Bottom