NIKUOMBE FANYA HARAKA USHUGHULIKIE HIYO NDOTO..NI ISHARA YA KWAMBA KUNA MAMBO YABAENDELEA ULIMWENGU WA ROHO YANAYO KURUDISHA NYUMA, HUSONGI MBELE KIUCHUMI KWA SABABU BADO KUBA KIKWAZO KINACHO KURUDISHA NYUMA NDIO MAANA UNAONA HUFANIKIWI KWWNYE MITIHANI YAKO...JAMBO LA KUFANYA
1. OMBA REHEMA NA...
NDUGU NAONA BADO HUNA UFAHAMU KUHUSU KITU KINAITWA MIZIMU, MIZIMU NI AINA YA PEPO WANAO FANYA MAGANO AU MAKUBALIANO NA FAMILIA UKOO AU MTU BINAFSI.SASA KILICHO TOKEA KWENYE FAMILIA YENU NI KWAMBA KUNA MAAGANO YA MIUNGU KATIKA FAMILIA KINACHO ZUNGUMZA HAPO SIO MAREHEMU BALI NI MIUNGU MAANA KI...
NIKUOE POLE NI SEME KWAMBA ULOKOLE SIO UJINGA WALA USHAMBA PUNGUZA MIHEMKO, HAPO TATIZO HALIPO KWENYE WOKOVU TATIZO LIPO KWA MKEO NI MJINGA HAELEWI ANACHO KIFANYA ...MAANDIKO YANASEMA HIVI....
“Lakini mtu ye yote asiyewatunza walio wake, yaani, wale wa nyumbani mwake hasa, ameikana Imani, tena...
Ndugu wewe unaona kama ushoga umeongezeka ni kwa sababu sasa hivi kuna ukubwa wa ongezeko la maendeleo ya sayansi taarifa unazipata kwa haraka, lakini nikwambie vitendo hivi vya ushoga na usagaji vimeanza muda mrefu huku mtaani tunafahamu lakini jamii ilikuwa ikilifumbua macho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.