Simba hatuwezi jishughulisha na mchezaji aliyeisha ubora kama ilivyo kwa Tshabalala.
Umri wake umeenda na hana kipya uwanjani ndio maana yupo Yanga tu hapo anachoma mahindi benchi akisubiri kwenda Singida mwakanj
Uongo huo Miloud hakutaka kuondoka ni viongozi wa Yanga walmkalia kimya baada ya msimu kuisha hadi wakala wake huyo kocha aliwahi kulalamikia hiyo hali ya viongozi wa Yanga kukaa kimya bila kuzungumzia chochote kuhusu mkataba mpya ilihali kocha wake ameipa yanga mafanikio
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.