Simba hatuwezi jishughulisha na mchezaji aliyeisha ubora kama ilivyo kwa Tshabalala.
Umri wake umeenda na hana kipya uwanjani ndio maana yupo Yanga tu hapo anachoma mahindi benchi akisubiri kwenda Singida mwakanj
Uongo huo Miloud hakutaka kuondoka ni viongozi wa Yanga walmkalia kimya baada ya msimu kuisha hadi wakala wake huyo kocha aliwahi kulalamikia hiyo hali ya viongozi wa Yanga kukaa kimya bila kuzungumzia chochote kuhusu mkataba mpya ilihali kocha wake ameipa yanga mafanikio
Yanga hii ambayo imekataa kumuuza Mzize kwa zaidi ya 5Bilv(Nikirejea kauli ya Engineer) ije kuvizia hela ya fidia ya kocha ambayo haiwezi fika hata mil 100
Hakuna biashara ya kuuza makocha duniani kote, hakuna klabu itanufaika kwa kuuza kocha
Makocha mara nyingi wakitaka kuterninate mkataba huwa na kipengele cha kurudisha tu mishahara ya miezi mitatu then yupo free kwenda, makocha hawana mikataba migumu kama wachezaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.