Recent content by Gwele

  1. Gwele

    JamiiForums Tanzania Series gani uliwahi kuangalia na hutamani Tena?

    Ndio ushangae na wewe 😀
  2. Gwele

    JamiiForums Tanzania FBI walivyobaini utapeli na ugaidi wa Nabii Rashnishi toka India

    Rajneesh
  3. Gwele

    JamiiForums Tanzania Robo Fainali UEFA: Liverpool na Barcelona kufanya 'Comeback' dhidi ya PSG na Atletico leo?

    Barca kama miaka yote tu ... Out
  4. Gwele

    JamiiForums Tanzania Misri: Klabu ya Pharco yatangaza kususia mashindano yote yanayoandaliwa na CAF

    Mashujaa watangaza kususia michuano yoyote ya Caf 😀😀
  5. Gwele

    JamiiForums Tanzania Nauza smart tv Alitop 43 inch

    Chukua 300k kaka upo dar maeneo gani?
  6. Gwele

    JamiiForums Tanzania Lassine kouma ni Bonge la mchezaji,, Mo toa pesa boss tunataka huyu mchezaji,, ukishindwa kumleta huyu mchezaji bora uondoke tu

    Tupunguze ushauri jamani kwenye mipango ya watu
  7. Gwele

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vita ya kunyamaziana kwenye mahusiano

    Sisi mbona tupo good tu baby
  8. Gwele

    JamiiForums Tanzania Djigui Diarra ni shujaa

    Hana cleansheet kwenye michuano kama Foba tu wa stars
  9. Gwele

    JamiiForums Tanzania Julio: Gamondi ana uwezo mkubwa kuliko Hemed Morocco, Taifa Stars itafika nusu fainali ya AFCON

    Nani mwenye mbinu ya kuitoa timu hapo ilipo?
  10. Gwele

    JamiiForums Tanzania Yanga mtapewa "Ladies Free" mpaka lini?

    Wameshazoea vya bure hao kuwasema ni kuwaonea tu
  11. Gwele

    JamiiForums Tanzania Wanasimba mkubali shabalala kawaacha just move on!

    Simba hatuwezi jishughulisha na mchezaji aliyeisha ubora kama ilivyo kwa Tshabalala. Umri wake umeenda na hana kipya uwanjani ndio maana yupo Yanga tu hapo anachoma mahindi benchi akisubiri kwenda Singida mwakanj
  12. Gwele

    JamiiForums Tanzania Miloud Hamdi atemwa Ismaly, Yanga ndio nafasi pekee ya kumrudisha ndio hii

    Uongo huo Miloud hakutaka kuondoka ni viongozi wa Yanga walmkalia kimya baada ya msimu kuisha hadi wakala wake huyo kocha aliwahi kulalamikia hiyo hali ya viongozi wa Yanga kukaa kimya bila kuzungumzia chochote kuhusu mkataba mpya ilihali kocha wake ameipa yanga mafanikio
  13. Gwele

    JamiiForums Tanzania Miloud Hamdi atemwa Ismaly, Yanga ndio nafasi pekee ya kumrudisha ndio hii

    Tugange yajayo hamna haja ya kumrudisha huyo Miloud, Hersi aangalie kocha mpya mwengne kama ni CV ataipatia hapa hapa
  14. Gwele

    JamiiForums Tanzania Shabalala mshumaa unaozimika gafla

    Mkude na Okrah walikuwa na ukali gani,?
Back
Top Bottom