Recent content by Gwele

  1. Gwele

    Misri: Klabu ya Pharco yatangaza kususia mashindano yote yanayoandaliwa na CAF

    Mashujaa watangaza kususia michuano yoyote ya Caf 😀😀
  2. Gwele

    Nauza smart tv Alitop 43 inch

    Chukua 300k kaka upo dar maeneo gani?
  3. Gwele

    Vita ya kunyamaziana kwenye mahusiano

    Sisi mbona tupo good tu baby
  4. Gwele

    Djigui Diarra ni shujaa

    Hana cleansheet kwenye michuano kama Foba tu wa stars
  5. Gwele

    Julio: Gamondi ana uwezo mkubwa kuliko Hemed Morocco, Taifa Stars itafika nusu fainali ya AFCON

    Nani mwenye mbinu ya kuitoa timu hapo ilipo?
  6. Gwele

    Yanga mtapewa "Ladies Free" mpaka lini?

    Wameshazoea vya bure hao kuwasema ni kuwaonea tu
  7. Gwele

    Wanasimba mkubali shabalala kawaacha just move on!

    Simba hatuwezi jishughulisha na mchezaji aliyeisha ubora kama ilivyo kwa Tshabalala. Umri wake umeenda na hana kipya uwanjani ndio maana yupo Yanga tu hapo anachoma mahindi benchi akisubiri kwenda Singida mwakanj
  8. Gwele

    Miloud Hamdi atemwa Ismaly, Yanga ndio nafasi pekee ya kumrudisha ndio hii

    Uongo huo Miloud hakutaka kuondoka ni viongozi wa Yanga walmkalia kimya baada ya msimu kuisha hadi wakala wake huyo kocha aliwahi kulalamikia hiyo hali ya viongozi wa Yanga kukaa kimya bila kuzungumzia chochote kuhusu mkataba mpya ilihali kocha wake ameipa yanga mafanikio
  9. Gwele

    Miloud Hamdi atemwa Ismaly, Yanga ndio nafasi pekee ya kumrudisha ndio hii

    Tugange yajayo hamna haja ya kumrudisha huyo Miloud, Hersi aangalie kocha mpya mwengne kama ni CV ataipatia hapa hapa
  10. Gwele

    Shabalala mshumaa unaozimika gafla

    Mkude na Okrah walikuwa na ukali gani,?
  11. Gwele

    Eng Hersi Said, kufumba na kufumbua, nahitaji huyo coach tapeli Roman Folz aondoke

    Yanga hii ambayo imekataa kumuuza Mzize kwa zaidi ya 5Bilv(Nikirejea kauli ya Engineer) ije kuvizia hela ya fidia ya kocha ambayo haiwezi fika hata mil 100
  12. Gwele

    Eng Hersi Said, kufumba na kufumbua, nahitaji huyo coach tapeli Roman Folz aondoke

    Hakuna biashara ya kuuza makocha duniani kote, hakuna klabu itanufaika kwa kuuza kocha Makocha mara nyingi wakitaka kuterninate mkataba huwa na kipengele cha kurudisha tu mishahara ya miezi mitatu then yupo free kwenda, makocha hawana mikataba migumu kama wachezaji
  13. Gwele

    Doumbia hamna mchezaji, acheni mara moja kumfananisha na Aziz Ki

    Vipi alivyokuja Ikangalombo yeye hakuanzia sub?
Back
Top Bottom