Recent content by Gwele

  1. Gwele

    Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

    Mama la mama
  2. Gwele

    Wosia wa Gardner lazima uheshimiwe, wimbo wake wa "Do you want a beer" lazima upigwe msibani

    Huna hili jingle la "kuzimu hakuna beer" Goma tamu sana hilo
  3. Gwele

    CAF Confederation Cup yafutwa. Msimu ujao kutakuwa na mashindano mawili tu

    Hu Hiyo wala sio bahati mbaya ndio utaratibu wa AFL. Mfano mzuri AS Far Rabat ya Morocco wanaongoza ligi na wapo na asilimia kubwa kuchukua ubingwa wa Morocco msimu huu ila hata hivyo hawatashiriki AFL badala yake ni Wydad Casablanca na RS Berkane ndio wenye points za kutosha Caf kushiriki...
  4. Gwele

    CAF Confederation Cup yafutwa. Msimu ujao kutakuwa na mashindano mawili tu

    Maana ya Champions league ni ligi ya mabingwa ila kwa sasa itakuwa ni kama shirikisho tu maana vigogo wote watakuwa AFL na hayo ni mabadiliko mapya ya Caf kama utakaa kubisha subiri msimu mpya wa Caf uanze ndio utaelewa Kupenda wengi hatujapenda hata mm nikiwa mmoja wao ila nimeona Caf wametumia...
  5. Gwele

    CAF Confederation Cup yafutwa. Msimu ujao kutakuwa na mashindano mawili tu

    Kwa hali ilivyo msimu ujao Simba na Yanga zitashiriki AFL bila kujali ligi itaishaje tayari hizo timu mbili zina point za kutosha kuwafanya kuwepo miongoni mwa hizo timu 24 Azam na kati ya hawa Coastal union, KMC au Tanzania Prisons anaweza shiriki nao klabu bingwa barani Africa kwa msimamo wa...
  6. Gwele

    CAF Confederation Cup yafutwa. Msimu ujao kutakuwa na mashindano mawili tu

    AFL haingalii msimamo wa Ligi za ndani ukiwa na point za kutosha Caf unafuzu moja kwa moja kushiriki AFL. Klabu bingwa itabaki kwa zile timu zilizokosa points za kushiriki AFL na kwa mantiki hiyo kuanzia mwakani usitegemee kuziona Al Ahly,Wydad,Mamelod,Raja AC au Simba kwenye Champions league...
  7. Gwele

    Klabu Yanga yafungiwa kusajili na Shirikisho la soka Duniani (FIFA)

    Hawa watu wa ajabu sana hawakawii kuja hapa kusema FIFA inawaonea wivu mafanikio yao
  8. Gwele

    Yanga wanaizungumzia Yanga, Simba wanaizungumzia Yanga

    Jezi zao tulizinunua na kazi tuliyoitaka watufanyie wakaifanya tena hawakutumia hata ganzi maana iliacha maumivu makubwa sana kwa watani zetu
  9. Gwele

    Yanga wanaizungumzia Yanga, Simba wanaizungumzia Yanga

    Kwakweli mm kama mwanasimba siwezi kuacha kuizungumzia Yanga na nilifurahi na mpaka sasa nina furaha kubwa baada ya Uto kutolewa robo fainali klabu bingwa hatua ambayo hapo awali walidhani ni rahisi tu kufika na kupita cha ajabu wameishia kucheza mechi 2 dk 180 bila kufunga hata goli la offside...
  10. Gwele

    Haya ndiyo Mambo yaliyowapumbaza mashabiki wa Simba sc na kusahau kuhoji mwenendo mbovu wa timu yao

    Nadhani aibu muanze kuona nyinyi maana mlizani huku klabu bingwa ni shirikisho na mkadhani wanaoishia robo fainali ni wazembe au hawana timu ya kupambana, haya sasa kiko wapi sasa nyie wenye timu bora mmebaki kulilia kosakosa iwe goli kuficha aibu yenu ya kuishia robo
  11. Gwele

    Haya ndiyo Mambo yaliyowapumbaza mashabiki wa Simba sc na kusahau kuhoji mwenendo mbovu wa timu yao

    Sasa kama huko ndio mnapaweza si mngeenda shirikisho mkafanye maajabu yenu Yaani tunazungumzia Klabu bingwa unaleta story za shirikisho
  12. Gwele

    Haya ndiyo Mambo yaliyowapumbaza mashabiki wa Simba sc na kusahau kuhoji mwenendo mbovu wa timu yao

    Yaani kwa sasa tumesahau kila kitu hata jina la kocha wetu tu hatukumbuki ila tunachokumbuka tu Yanga wametolewa robo fainali na Mamelod licha ya kuandika barua ya kujiliza na manung'uniko Caf plus kushinda kwenye page za Caf kutukana bado wananchi wameishia robo fainali
  13. Gwele

    Haya ndiyo Mambo yaliyowapumbaza mashabiki wa Simba sc na kusahau kuhoji mwenendo mbovu wa timu yao

    Na tumewaganda mpaka tumehakikisha na nyinyi mnaishia robo na simba mbovu inayoshuka daraja nyinyi huko Caf ni Mwakarobo wenzetu tu "Mwakarobo Jr"
  14. Gwele

    Haya ndiyo Mambo yaliyowapumbaza mashabiki wa Simba sc na kusahau kuhoji mwenendo mbovu wa timu yao

    Sema kosakosa ya Aziz Ki dhidi ya Mamelod Sundowns, unavyosema goli unatuchanganya na tunajua Yanga hawakufunga goli lolote kwenye hiyo mechi
  15. Gwele

    Jamani nakosea wapi?

    Kwaajili yako kipenzi
Back
Top Bottom