Leo Trump amekuwa mtu wa kuaminika kwenu? Maajabu haya, huyu Trump si ndio kila kauli yake kuhusu vita mlikuwa mnaiponda na kusema mzee ni muongo leo amekuwa wa kuaminiwa hadi na nyinyi?
Kwahiyo mlianzisha uzi kwaajili ya kuiponda marekani ikifungwa? Naona imeshinda chuma 4 saafi wote mmepoteana hadi muanzisha uzi
USA timu tunayo na tunalitaka kombe nyie kaeni na mazoea tuwashangaze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.