Recent content by Gwayaka

  1. Gwayaka

    JamiiForums Tanzania Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    unahitaji agiza bidhaa gani? wasiliana nasi. www.tewtrading.com, tuna ofisi dar na china.
  2. Gwayaka

    JamiiForums Tanzania Msaada wa volkswagen touareg 3.0 td1 v6 diesel

    vw cars hazisumbuagi kabisa, mimi natumia sedan vw nimenunua in 2011 mpya, mpaka leo haijawai sumbua, nimebadili spark plugs only mara moja na tairi.Naishi china uenda labda kwa kua barabara ni nzuri, ila generally speaking germany cars ni imara sana.
  3. Gwayaka

    JamiiForums Tanzania Msaada wa volkswagen touareg 3.0 td1 v6 diesel

    hiyo gari ushuru wake hukoje hapo tz bandalini?
  4. Gwayaka

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa haya kuhusu kuagiza mzigo China

    nicheki wa whatsap +8615950476454 tukupatia utaratibu wote jinsi ya kuagiza bidhaa kutoka china, We are China Purchasing and Shipping agent
  5. Gwayaka

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa haya kuhusu kuagiza mzigo China

    yes, kuna ma agent wa kibongo kweli wanaweza toa bei.za ajabu. Mimi pia ni purchasing agent tunaweza kukupatia bei nzuri na ukauza na kupata faida, tuna ofisi dar na china.Sishauri mnunue vitu alibaba maana on alibaba wengi ni ma agent yani wawakirishi wa viwanda vya kichina vinavyotafuta...
  6. Gwayaka

    JamiiForums Tanzania Ubadhirifu wa USD 400,000 za Sekta ya Afya: Philip Mpango alikuwa wapi mpaka aambiwe na Global Fund wenyewe?

    Mnasihi, Hiki kitu ulicho ongea uenda kina ukweli. Kuna uwezekano wenyewe ndiyo wanazikwapua kufanyia hayo uliotaja.Alafu hapo utegemee kuwe na uchunguzi..hahaaa
  7. Gwayaka

    JamiiForums Tanzania China aache uongo hana uwezo wa kujenga hospitali kwa siku sita

    yes, jamaa ni taira kabisa ndiyo maana nimeona nimtukane kwa kichina!😂😂他脑子应该有病😳
  8. Gwayaka

    JamiiForums Tanzania China aache uongo hana uwezo wa kujenga hospitali kwa siku sita

    我在中国,江苏省,南京市。我觉得你这种人应该很本。真的没有脑子😂😂😂
  9. Gwayaka

    JamiiForums Tanzania China aache uongo hana uwezo wa kujenga hospitali kwa siku sita

    sehemu ilikua ni kichaka kabisa.Nafikiri wewe hujui nchi ya china ilivyo na huwezo mkubwa ki uchumi na mengineyo.Na pia kwenye ujezi hawatumii tofali ndugu yangu wanatumia material tofauti na kwa kuunganisha already made components.
  10. Gwayaka

    JamiiForums Tanzania China aache uongo hana uwezo wa kujenga hospitali kwa siku sita

    imejengwa ndani ya siku 10.Niko china na vyanzo vya habari nchini china vinasema hivyo.
  11. Gwayaka

    JamiiForums Tanzania China aache uongo hana uwezo wa kujenga hospitali kwa siku sita

    nyie endeleeni.kubishana tu, mchina hawezi jenga in 6 days and blah.blah.Wakati ma engineers washamaliza na kukabidhi hospitali to Wuhan.govenment on feb 2nd jumapiri😂😂
  12. Gwayaka

    JamiiForums Tanzania Viwanda vya copy paper Tanzania

    naomba nizijue zote, reja reja na jumla hasa kwa za 80gsm.
  13. Gwayaka

    JamiiForums Tanzania Viwanda vya copy paper Tanzania

    Bei za jumla na reja reja mtaani zikoje mdau? kama unazijua nijuze kidogo
  14. Gwayaka

    JamiiForums Tanzania Viwanda vya copy paper Tanzania

    Ni opportunity hiyo maana raw materials zipo kwa kweli
  15. Gwayaka

    JamiiForums Tanzania Viwanda vya copy paper Tanzania

    Aisee kumbe atuna ata kimoja!
Back
Top Bottom