Recent content by Gwankajha

  1. G

    Jerry Muro kortini tena

    Stupid gvnt mambo ya msingi wanayaacha kesi kibao ziko mahakan wanadai pesa hakuna sasa zakuendeshea rufaa wanazitoa wapi,hawa nyinyiem wanasuka njama.bt one day yes!
  2. G

    Hivi ndivyo viwango vya elimu vya 'majembe' ya CHADEMA!

    Hiyo ni kweli shule muhimu coz hata ungekuwa na kipaji cha kuongoza bt huna shule waliokwenda shule watakuyumbisha mbaka utapoteza mwelekeo kama JK.
  3. G

    Je kufanyakazi uhamiaji ni "mislocation of human resource?"

    Ndg zangu jamaa zangu na marafiki zangu. Naamini katika idara za serikali UHAMIAJI ni mojawapo wa idara zenye wasomi wengu, Napenda kujua je vigezo wanavyotaja kwa kazi ya uhamiaji hawavingatii?maana kuna bwana mmoja nimekutana nae anongea zaid ya lugha tano kikiwemo kiarabu, na ni...
  4. G

    Waziri Muhongo ni muongo?

    Muhongo huon wiz huu? Nimepa umeme 10,000 halafu cheki wezi walivyochanganua then change hakuna..... Summary units :18.20 kwh total unt cost:tsh4027.85 tax(VAT18%EWURA1%REA3%):tsh886.13 fixed amount:tsh 3841.00tena tax(VAT18%EWURA1%REA3%tsh845.02 total cost :9860.00 je hiyo...
  5. G

    Nape, Sisi siyo wahuni; Sisi ni Wataka Mabadiliko ndani ya Chama

    Wote ni wahuni kuanzia m/kit taifa mpaka mwanachama wa kawaida,ila nimeshindwa kuelewa kidogo hapo no. (4) kwa"ZITTO KABWE" huyo nae kaingiaje?
  6. G

    Kikwete akutana na vipeperushi vya kumkataa Dodoma!

    Ee patamu hapo,mr.dhaifu a.k.a wa kucheka,alipokuwa akihutubia kwa mara ya kwanza aliwahi kusema "I may be wearing a smile,but it could be exceptive,I fame on issue"akimaanisha anaweza akatabasamu,lkn ana msimamo ktk mambo ya msingi.kumbe ni kucheka tu ***#***#="*##* hovyo kabisa
  7. G

    PICHA: Hawa ndio waliomuua mwandishi wa Channel Ten (Daudi Mwangosi) huko Iringa

    Ogapa sana "kazi za nguvu as oppossed to Brain"na ndiyo police wetu. No shule kichwa
  8. G

    Mwl.Nyerere alifanya jambo hili mbele yangu mwaka 1998

    Good! Good!Good sanaaaa! Mfano mzuri,bt viongoz wa sasa watashusha kioo kwenye VX then anamwambia dereva twende kwa kichwa bila hata kusema neno.
  9. G

    Vyombo vya usalama acheni propaganda, Sheikh Farid mlimteka kweli, ushahid huu hapa...

    Mind you,suala liko mahakamani,kisheria you "Don't need to discuss it"subili haki isipotendeka,kata rufaa.
  10. G

    Hawa ndio wabaya wa waislamu na uislamu wenyewe kwa Tanzania...

    Mtoi,we kweli kichwa,sasa ningependa kuona chama nae aseme maana kakomaa tatizo lipo tena kubwa,but hataji tatizo nini?na nini kifanyike
Back
Top Bottom