Umri wangu;23
Dini yangu;christian
Elimu yangu;degree
Rangi yangu;black ila cyo km mkaa
Kimo changu;160cm
Binti awe na umri kuanzia 19-22 itapendeza na mweupe.
Habarini wanabodi;
Kizazi cha digitali kimekuja na mambo kibao ambayo ni kutokana na uvivu na uzembe,kuna dawa nyingi za kupunguza vitambi na manyama uzembe,zipo za kupakaa,kunywa n.k,Je hizo dawa hazina madhara kwenye mwili wa binadamu kwa sasa na baadae?
Asanteni....
Karibu kwa ushauri na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.