gwangufu
Member
- Sep 29, 2017
- 26
- 13
Habarini wanabodi;
Kizazi cha digitali kimekuja na mambo kibao ambayo ni kutokana na uvivu na uzembe,kuna dawa nyingi za kupunguza vitambi na manyama uzembe,zipo za kupakaa,kunywa n.k,Je hizo dawa hazina madhara kwenye mwili wa binadamu kwa sasa na baadae?
Asanteni....
Karibu kwa ushauri na mawazo tuokoe maisha ya watanzania.
Kizazi cha digitali kimekuja na mambo kibao ambayo ni kutokana na uvivu na uzembe,kuna dawa nyingi za kupunguza vitambi na manyama uzembe,zipo za kupakaa,kunywa n.k,Je hizo dawa hazina madhara kwenye mwili wa binadamu kwa sasa na baadae?
Asanteni....
Karibu kwa ushauri na mawazo tuokoe maisha ya watanzania.