Recent content by Gwambogo

  1. Gwambogo

    JamiiForums Tanzania Ni kweli kuwa Moro wamegundua machimbo ya dhahabu?

    Vijana wanapambana ili kuutokomeza umaskini, ni jambo jema.
  2. Gwambogo

    JamiiForums Tanzania Tuelewane waungwana, kuna tofauti gani kati ya hizi style?

    Hapo mwanaume unaji-positioning vipi sasa? Toa elimu aisee
  3. Gwambogo

    JamiiForums Tanzania Vyakula na life style katika umri wa 40+

    Mnaendeleaje huko?
  4. Gwambogo

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Doh, wanaogopa baridi?
  5. Gwambogo

    JamiiForums Tanzania Leo nimemuona classmate mwenye miaka 35 ana-push LC 300 na anaingiza tarakimu 9 kila mwezi, nimehisi wivu wa maendeleo

    Hujafafanua vizuri hapo, hiyo Milioni 100 kila mwezi ndio mshahara wake au mapato kwenye biashara yake? Kama ni kwenye biashara hakunaga mapato constant, umetupiga kamba hapo Mkuu.
  6. Gwambogo

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Makambako haipo?
  7. Gwambogo

    JamiiForums Tanzania Ishu za Madawa Tanzania mara 100 omba ukamatwe na polisi ila sio DCEA unapotea chap

    Kwanini ulimuita kiongozi wao pembeni ili umpangilie? Ulikua na mihadarati kwenye hilo gari?
  8. Gwambogo

    JamiiForums Tanzania Nauza Mashine ya Kusaga, Mota 30 HP, na Mashine Kukoboa (rollers 3), bei Milioni 6

    Ushauri wa namna ambavyo mtu anaweza kutumia pesa yake katika kujiletea maendeleo ni WIZI WA MCHANA KWEUPE, hakuna tofauti na betting mkuu.
  9. Gwambogo

    JamiiForums Tanzania Nauza Mashine ya Kusaga, Mota 30 HP, na Mashine Kukoboa (rollers 3), bei Milioni 6

    🌟 OFA KUBWA – PUNGUZO LA BEI! 🌟 Nimepunguza bei kutoka Milioni 6 hadi Milioni 5 tu. Hii ni OFA ya muda mfupi – mteja awahi haraka kuchukua kabla haijaisha!
  10. Gwambogo

    JamiiForums Tanzania Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

    "Why we want you to be rich" - Trump & Kiyosaki
  11. Gwambogo

    JamiiForums Tanzania Kwa lugha nyepesi Geita yote chini ya ardhi ina dhahabu

    Inasikitisha sana, baadaye watakuja kuambiwa walipwe fidia na kupisha Muwekezaji
  12. Gwambogo

    JamiiForums Tanzania Nyie mmepata mshahara wa mwezi huu wa saba?

    Mishahara bado kidogo
Back
Top Bottom