Wanajamii forums ni muda mrefu sana nimekuwa nikipata ukakasi na kile kitendo walichokifanya Adam na Hawa pale Eden.Hivi "kula tunda la katikati" ukweli wake ni upi?Wengine hudai ni kweli walichuma tunda la mti uliokuwa katikati na wengine hudai walizini.Dhana ipi ina ukweli hapa?
Hivi ni kweli kuwa inapofika tarehe 01.07. ya kila mwaka ndio hua ni mwisho wa matumizi ya fedha ya bajeti ya mwaka uliopita?
Kwa mfano: Kama mtu ilikuwa uajiriwe kwa bajeti ya fedha ya 2021/2022 bahati mbaya ikatokea shida mambo hayakukaa sawa, inapofika tarehe 01.07 ndo basi tena imekula...
Naomba ushauri wenu wanajamii forum:
Nilifanya usaili kuhamia university km warden nikitokea Sekondari na nikaqualify.
Chuo kikatuma ombi la vibali vya uhamisho Utumishi Dodoma, sasa vibali vimetoka ila baadhi ya walioombewa nikiwepo mm utumishi wamekatalia eti kwa sababu ya kwamba mwajiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.