aisee nikiwa nasoma post za watu humu wanao jiona wamesoma halafu wanakosoa watu wanao tetea haki za watu wanao onewa hua nakasirika sanaa (mungu niweke mbali na hali hiyoo amen)
Wazo hilo lipo mkuu ila kuna jamaa aliniambia sehemu za Nzega vijijini huko wanauza bei rahisi.Tunataka tuwe tunanunua wale waliokonda na kunenepesha baada ya hapo tunasafirisha kwenda kwenye minada mikubwa na pia kuanzisha bucha ya kisasa maeneo ya mjini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.