Recent content by GUZ

  1. G

    Mtandao umezikwa rasmi leo

    du, wenye english zenu (mjuao kiingereza) naona mwaka huu tutawakoma!! Namshauri mh dk magufuri akuteue kuwa balozi wetu uingereza, naona utatufaa sana!
  2. G

    Uwepo wa Lowassa UKAWA umeongeza majimbo na kura

    naauliza tu, kwani lipumc ameiacha cuf ikiwa na wcunge wangapi bara na sasa wako wangapi? Ni kujitoa ufahamu kumbeza mbowe, lowassa na viongozi wa ukawa kwa ujumla!
  3. G

    Special Thread: Taarifa za Kampeni za Mgombea urais kupitia CCM, Dr. Pombe Magufuli na Samiah Suluhu

    ni kweli dr magufuri amevunja rekodi kwani tangu tanzania izaliwe hatujawahi kuwa na uchaguzi ambapo ccm ilitegemea wasanii ili kuvutia watu kwenye mkutano wa kampeni! Leo dr magufuri atakuwa ushirombo na ili kuvutia watu mziki wa bure (disko) umekesha!! Inawezekana akawa pia amevunja rekodi si...
  4. G

    CCM wamekosea kutumia M4C kumnadi Magufuli

    du, pole!!
  5. G

    Marekani yagoma kutoa msaada wa sh trilioni 1 kisa rushwa kubwa kubwa kukithiri Tanzania!

    Si tunaaminishwa kuwa mafisadi wamehamia ukawa na hivyo tusiwaamini tena chadema na ukawa yao? Je, tayari ukawa iko madarakani ndo maana nchi inanuka rushwa kiasi cha kuzuiliwa misaada??
  6. G

    Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CHADEMA nchini kote

    gud, huyo dada ni jembe balaa!
  7. G

    NLD, Tadea, NRA, CCK wajiunga na CCM

    Hawa jamaa wamechanganyikiwa! Unawezaje kusema hufungamani na upande wowote ilhali unaambatana na watu ambao wanamsimamo tayari yaani serikali 2? Kalagabaho!
  8. G

    UDOM bado

    ukanjanja at work! Ninashindwa kuamini kama hili limeletwa na msomi wa walau ngazi ya cheti! ... Kwa ujenzi huu wa hoja,mmm......
  9. G

    Mbowe amlipua JK

    umenena vema, lakini je, unaweza ukaliambia jukwaa hili namna shule yako imeisaidia nchi hii?
  10. G

    Kagame azidi kuichokonoa Tanzania; Sasa amgeukia Membe...

    nakushauri uwe unasoma habari kwa makini kabla ya kuchangia! Kilichoandikwa ni kuwa kiongozi wa waasi alikutana na membe mwishoni mwa mwaka jana na kuwa inadhaniwa kuwa mkutano huo ndio uliofanisha hayo yanayosema kufanyika jan 23! Kwa maana hiyo hakuna kilichobadilika ktk hicho kinachoitwa...
  11. G

    Lema anafaa kuwa waziri wa wizara ipi kama CHADEMA wakipata madaraka?

    wewe kwa cv zile unaona wanastahili kwa nafasi walizopewa?
  12. G

    Dr.Kitila Mkumbo: Tunahitaji mbadala wa CCM na CHADEMA

    Watanzania tunayo kazi! Kama msomi wa level ya kitila(dr) anaweza kuchanganya mambo namna hii sijui tutegemee nini au jamii itegemee nini kwa ambao hatujaenda shule au wenye shule ya kawaida!? Ati viongozi wamejijengea kushabikiwa na wanachama ili hali yeye mwenyewe (anayeona mbali kama...
  13. G

    Wimbo wa Taifa wa Zanzibar

    udini utakumaliza! Askofu pengo anaingiaje hapa? Kweli mtu akivaa miwani ya namna hii hata kama aliivaa ili imsaidie, haimsaidii kamwe!
Back
Top Bottom