Rafiki, hii nchi ni masikini sababu asilimia kubwa wana IQ ndogo kutokana na kuzaliwa nyumbani badala ya hospitalini. Sasa mtu anatoa taarifa pamoja na ushahidi lakini mtu bado anabisha pasipo hata ku test ushahidi uliowekwa. Ni shida sana lakini ndio nchi yetu.
Rafiki, hii nchi ni masikini sababu asilimia kubwa wana IQ ndogo kutokana na kuzaliwa nyumbani badala ya hospitalini. Sasa mtu anatoa taarifa pamoja na ushahidi lakini mtu bado anabisha pasipo hata ku test ushahidi uliowekwa. Ni shida sana lakini ndio nchi yetu.
Kila hospitali inapojengwa huwa inakusudiwa kuwa na uwezo wa kulaza wagonjwa kadhaa, ambayo huwa inatajwa kwa idadi ya vitanda yaani bed capacity. Huwezo huu ndio huwa unatumika kudesign majengo na kujua idadi ya human power. Sasa ni wazi tu hapa suala la manesi kutosha itakua shida.
Na kama...
kaka uhuru wa kuongea kila mtu anao, lakini kwenye majukwaa makubwa kama hili ni vizuri ukajiribu kutumia uhuru wako kuongelea mambo unayoyafahamu japo kidogo, vinginevyo utaonekana darasa la saba au hujaenda darasani kabisa, kumbe pengine ni msomi wa levo ya degree.
Ngoja ni kuelimishe kidogo...
mkuu ni kweli, hospitali za private nazo zina haki ya kuwatumia madaktari waliopo, lakini ilitakiwa kuwe kuna ugumu kwa hizi hospitali kupata hawa madaktari, na hivyo zingekuwa zinalazimika kulipa mishahara mikubwa hili kuvutia madaktari.
Tatizo lililopo hapa ni kuwa, serikali inatumia nguvu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.