Sioni tatizo wakimrudisha kwa kura za haki, lkn kama zitakuwa zile za kubeba kwenye mabegi........yaya geete.Ukweli ni kwamba huko kwao ma racist ni wengi sana na wanamtaka Trump ashinde tena.
Sioni tatizo wakimrudisha kwa kura za haki, lkn kama zitakuwa zile za kubeba kwenye mabegi........yaya geete.Ukweli ni kwamba huko kwao ma racist ni wengi sana na wanamtaka Trump ashinde tena.
Mabeberu watu wa ajabu Sana. Yani Wanataka hata kutufundiaha jinsi ya kuwaza, yani tuwaze na kutenda kama waonavyo wao si upuuzi huo.Wameona magu kawakazia, ile mirija yao ya kufyonza rasilimali imekatwa sasa imekuwa nogwa. Nyerere aliona mbali sana, nchi hizi za ki Africa bila kujitegemea na kuondoa tongotongo kichwani na ukoloni mamboleo hautaondoka.
Hivi nawewe kweli siasa unaijua?Yale maigizo ya Trump unayaamini kabisa?Nonsense! Kwanini wasihangaikie uchaguzi wao ambao una kila dalili ya kuliingiza taifa lao kwenye constitutional crisis iwapo racist president wao atashindwa uchaguzi na kukataa matokeo?
Ama kweli kuna binadamu akili zao wanashikiwa na wenzao.Tanzania ni nchi tajiri Sana.
Internet imezimwa kwani kuna taharuki yoyote nchini?Law and order. Hakuna sababu ya minority kuachwa wakafanya unnecessary disturbance kwa majority!
Nchi hiru wakati bado tunaenda kuomba misaada kwa kukubali masharti magumu!!!Mwambieni balozi atulie, Tanzania ni nchi huru, watanzania ni watu huru, hatuwezi kuendeshwa kwa namna hiyo..
Huko ndiko CCM inataka kutupelekaMhhh mbona anaongea kama nchi ni yake??anajuwa sababu ya wenyewe kukamatwa...anyway inabidi Tanzania kuwa makini maana Libya na Misri wote wamepitia huko....hawa US ni watu wabaya sana tena sana hasa wakiona nchi inafanya vizuri...
#US Ambassador to Tanzania: Maalim Seif and his colleagues should be released immediately: Mkuu Quinine, unajisikiaje unapohangaika kutafuta jumbe kama hizi kutoka kwa balozi wa USA pamoja na Senator wa USA badala ya kutafuta hisia na ukweli kutoka kwa wananchi na wahusika katika uathirika wa kisiasa? USA Ambassador na Senator hawana mamlaka yoyote kuingilia mambo yandani ya nchi yanayotekelezwa kwa mjibu wa sheria halali na katiba. Hii inathibitisha hawa watu unaochukua nukuu kutoka kwao wana maslahi binafsi kupitia wewe na wenzako wenye hisia kama hizo au maslahi ya kiuchumi kupitia taasisi na kampuni zilizopo hapa nchini. Hii pia inathibitisha wewe pamoja na watu ambao unatoa nukuu hizi mna chuki binafsi, wivu, inda na nia ovu kwa mgongo wa demokrasia. Hii ni nchi ya watanzania sio ya Marekani, Ulaya, au huyo wakili feki mwenye makao yake Uingereza. Kitendo cha kuendelea kutoa matamko hasi dhidi ya Tanzania ni uthibitisho tosha kwamba wako nyuma ya njama zozte ovu kwa Tanzania. Chochote kibaya kinachoweza kutokea dhidi ya Tanzania na viongozi wake hawa watu unaotafuta nukuu kutoka kwao pamoja na wewe mtawajibika kwa Watanzania. UMAMUZI ni wa WATANZANIA kuamua ni nani awaongoze sio mabalozi wa nje, mashirika binafsi, UN, AU, Coimmonwealth nk. Achaneni na taharuki hizi zisizo na tija kwa maslahi ya nchi, haikubaliki kwa namna yoyote. Msitishia Tanzania na jumuiya za kimataifa, kwa lipi baya lililotokea hapa kuzidi huko kwao ambako hakuna HAKI, UHURU ridhaa na AMANI kwa kulinganisha na wananchi wa Tanzania.Detaining opposition leaders is not the act of a government confident in its electoral victory. Maalim Seif and his colleagues should be released immediately.
View attachment 1615653View attachment 1615654
Sababu zipi nani kamtukuza mzungu.Hizi ndio sababu watanzania wamewapiga chini kulilia utumwa.
Hamuwezi kupata public support mkiendelea na upuuzi wakutukuza wazungu.
Yaani ata watu wanaowasikitikia kwa matokeo ya uchaguzi wanapoona huu upuuzi wenu mnawafanya waone you deserve what you got haraka sana.
Mawazo ya kijima, kwahiyo unatuzuia tusiwe tunasoma walichoandika wazungu sijakuelewa, basi na magazeti yao msiwe mnasoma na TV zao mzipige marufuku.#US Ambassador to Tanzania: Maalim Seif and his colleagues should be released immediately: Mkuu Quinine, unajisikiaje unapohangaika kutafuta jumbe kama hizi kutoka kwa balozi wa USA pamoja na Senator wa USA badala ya kutafuta hisia na ukweli kutoka kwa wananchi na wahusika katika uathirika wa kisiasa? USA Ambassador na Senator hawana mamlaka yoyote kuingilia mambo yandani ya nchi yanayotekelezwa kwa mjibu wa sheria halali na katiba. Hii inathibitisha hawa watu unaochukua nukuu kutoka kwao wana maslahi binafsi kupitia wewe na wenzako wenye hisia kama hizo au maslahi ya kiuchumi kupitia taasisi na kampuni zilizopo hapa nchini. Hii pia inathibitisha wewe pamoja na watu ambao unatoa nukuu hizi mna chuki binafsi, wivu, inda na nia ovu kwa mgongo wa demokrasia. Hii ni nchi ya watanzania sio ya Marekani, Ulaya, au huyo wakili feki mwenye makao yake Uingereza. Kitendo cha kuendelea kutoa matamko hasi dhidi ya Tanzania ni uthibitisho tosha kwamba wako nyuma ya njama zozte ovu kwa Tanzania. Chochote kibaya kinachoweza kutokea dhidi ya Tanzania na viongozi wake hawa watu unaotafuta nukuu kutoka kwao pamoja na wewe mtawajibika kwa Watanzania. UMAMUZI ni wa WATANZANIA kuamua ni nani awaongoze sio mabalozi wa nje, mashirika binafsi, UN, AU, Coimmonwealth nk. Achaneni na taharuki hizi zisizo na tija kwa maslahi ya nchi, haikubaliki kwa namna yoyote. Msitishia Tanzania na jumuiya za kimataifa, kwa lipi baya lililotokea hapa kuzidi huko kwao ambako hakuna HAKI, UHURU ridhaa na AMANI kwa kulinganisha na wananchi wa Tanzania.
Hizo hasira hazikusaidii, na huwezi kunikaripia kwa mihemko ya kisiasa. Stop it, and to be frank and precise your mission shall not yield your projected prospects at all.Mawazo ya kijima, kwahiyo unatuzuia tusiwe tunasoma walichoandika wazungu sijakuelewa, basi na magazeti yao msiwe mnasoma na TV zao mzipige marufuku.
You can restrict our freedom for sometimes but you can’t control our mind. Hasira za kushindwa kumzuia aliyeandika (balozi) usizihamishie kwa wasomaji.
Kama ume zoea magroup ya instagram ya kusifia karibu kwenye jukwaa huru ndugu Intelligence Justice .
Intelligence Justice
Member
Joined Oct 23, 2020
Huna lolote, ukitaka anzisha thread yako ya mapambio.Hizo hasira hazikusaidii, na huwezi kunikaripia kwa mihemko ya kisiasa. Stop it, and to be frank and precise your mission shall not yield your projected prospects at all.
Halafu CCM ndiyo wazuri....!!Mhhh mbona anaongea kama nchi ni yake??anajuwa sababu ya wenyewe kukamatwa...anyway inabidi Tanzania kuwa makini maana Libya na Misri wote wamepitia huko....hawa US ni watu wabaya sana tena sana hasa wakiona nchi inafanya vizuri...
Watamrudisha kwa kura za haki kama walivompa mwanzo sio kama hizi za hapa kwetu rais anashinda kwa kura za maruhaniSioni tatizo wakimrudisha kwa kura za haki, lkn kama zitakuwa zile za kubeba kwenye mabegi........yaya geete.
maCCM ndo watu wabaya usiwasingizie wamarekaniMhhh mbona anaongea kama nchi ni yake??anajuwa sababu ya wenyewe kukamatwa...anyway inabidi Tanzania kuwa makini maana Libya na Misri wote wamepitia huko....hawa US ni watu wabaya sana tena sana hasa wakiona nchi inafanya vizuri...
Ungeweka na vipicha kidogoKwa arusha watu walijazwa mahotelini usiku wa tarehe 27/10/2020 kule amazon, kitundu nk. kura zilipigwa usiku ndani ya jengo la CCM mkoa na kupelekwa vituoni chini ya ulinzi wa polisi na kuingizwa kwa nguvu. waliojaribu kuzuia risasi zilipigwa juu na kutawanya watu. hii ndiyo sababu mitandao ilizuiliwa kuzuia ku share picha na video za matukio
Et round balozi wa marekani tanzania ana ulinzi zaid ya mfalme wako sasa sema usiyojua uone dunia hii kama ya Musa au FeraunHuyu balozi hatachukua round kwa kidomodomo chake.