Aagize alikoagiza gari, very simple. Wabongo wengi ni wapumbavu sana. Kuacha gari nyumbani uagize spare na kuisubiria wiki moja au mbili hawataki,yuko radhi akauziwe ya kuchonga🤣🤣
Sitishi mtu mkuu, tatizo letu kubwa Bongo ni mafundi. Hizo gari zina mafundi wachache sana wanaozifahamu vizuri sada kwa mtu ambaye ananunua gari kwa mara kwanza na hana experience na umiliki wa magari itamsumbua tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.