Kwanini umchome moto mwanadamu mwenzio? Kwanini usimpige tu na ukamuacha na maumivu yake?
Namna mlivyowajinga, mtu anaewaibia kuku tu mna muua, ila kiongozi anaewaibia mabilion ya kujenga hospital zenu mnamsifia.
Uhai wa mtu haufananishwi na kitu chochote, mali zinaweza kurudi ila uhai hauwezi. waafrica ni wapumbavu wakubwa kwakua wamekuua wakiwauwa watu ambao waliwaibia simu tu... jiulize kwanini ujinga huu upo tu africa? Kwani dunia nzima hakuna wezi?
Hakuna damu ya mtu inayo mwagika bure. kwakua wewe ulimchoma visu mbavuni, ni wazi uli ua, damu ya uyo mwizi iko juu yako na kizazi chako. chunguza maisha unayoishi sasa na yatakayo kuja yote yatakua ni miserable. Nenda katubu na ubatizwe upya.
Kitu cha kwanza unachotakiwa kukifanya ni wewe kuokoka, maisha yako yatabadilika, historia haitokua kama ilivyo leo,,, you need Jesus before anything else. hayo unayopitia its obvious una spiritual problems ata upewe kiasi gani after a while utarudia tena mateso zaidi na zaidi.
Yeah man, sometimes mie mwenyewe nikikumbuka miaka hio machozi unilenga, hasa nikiwa na drive highway, kumbukumbu zote uja... wale watu wote tuliokua darasa moja shule moja enzi izo sijui wako wapi? hatuwezi tena kuja kukutana ktk umati wa namna ile.
Yaan hakuna wimbo ata mmoja wa fitty? Mzee fitty ana ma bit ambayo yote yana form hizo top 10 hapo
1. When it rains it pour
2. Window Shopper
3.in da club
4. Best friend
5. Candy Shop
6. Pop them thang
7. Many men
8. 21 questions
9. Pimp
10. I get money
11. Whip yo head
12. Stunt 101...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.