Recent content by gunga yenna

  1. G

    JamiiForums Tanzania Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Kaka tafuta Cha kufanya acha kulialia muda unakwenda haurudi pale unapopataka wewe.
  2. G

    JamiiForums Tanzania Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Kwani Chadema aliunda Serikali nchi gani ili atengeneze hiyo article, ni mkusanyiko wao wa raia Kama wengine wetu.
  3. G

    JamiiForums Tanzania Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Man our treasurery is full of cash come sun come rain, the money you used to swindle is no more, all swindlers have same talk because they have nothing to swindle before being swindled.
  4. G

    JamiiForums Tanzania Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Rais Dr. John Joseph Pombe Magufuli hakushuka Tanzania kama Malaika akawa muarobaini wa nchi hii, ni binadamu ambaye makosa ni sehemu ya utendaji, korosho ni jambo geni ambalo limeleta mkanganyo katika maamuzi yake, lakini Watanzania tushirikiane kutafuta jinsi ya kumaliza sakata hata kushauri...
  5. G

    JamiiForums Tanzania Nyalandu anagawa kadi za CHADEMA misibani Singida

    Mkandahari mtu wa Kandahar hakika mchovu wa hoja kaa pembeni.
  6. G

    JamiiForums Tanzania Nyalandu anagawa kadi za CHADEMA misibani Singida

    Tusipotoshane umenena sawia.
  7. G

    JamiiForums Tanzania Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Hivi kwa nini punda kama ninyi mpo nchi hii kila siku ni kunya kunya maneno ya dharau tu, starabika dada huyu ni Rais wa nchi siyo chizi mwenzio. thanks
  8. G

    JamiiForums Tanzania Hii kesi, kuna kifungo kina nyemelea hawa watu

    Usiwafanye Watanzania wajinga, wanajua wanachokiamini siyo fuata upepo kama akina ninyi.
  9. G

    JamiiForums Tanzania Nyalandu anagawa kadi za CHADEMA misibani Singida

    Lakini umasikini unatokana na nini Singida?? Mkoa huo unapitiwa na barabara kuu, ardhi ni nzuri pia kuna fursa ya ufugaji. Mtapitisha kila aina ya chama kuwa na wabunge tofauti, lakini kama lengo ni maendeleo basi wananchi wahamasishwe kufanya kazi kwa bidii kulingana na fursa zilizopo humo...
  10. G

    JamiiForums Tanzania Nyalandu anagawa kadi za CHADEMA misibani Singida

    Alipakia kwenye ndege Tupolov kubwa Sana.
  11. G

    JamiiForums Tanzania Nyalandu anagawa kadi za CHADEMA misibani Singida

    Noma, huyo Nyalandu wako ni public figure ambaye ni lazima watu wawe na interest naye, laiti angekuwa kajamba nani Kama ninyi washabiki wake mngekutwa mnagawa kadi za Chadema mngeonekana machizi fulani tu.
  12. G

    JamiiForums Tanzania Nyalandu anagawa kadi za CHADEMA misibani Singida

    Mamkwe subira yavuta heri tukutane January 2021 uwanja wa Taifa Mungu ni mwema tutasali atufikishe, mjadala umefungwa Mamkwe.
  13. G

    JamiiForums Tanzania Nyalandu anagawa kadi za CHADEMA misibani Singida

    CCM Ina Serikali ipo madarakani inatawala, Chama Chako kinaendelea kuchuchumaa nje miaka 30 kikiomba CCM idondoke, sasa hapa anayehangaika ni nani tumia akili ya kuzaliwa huhitaji hata darasa moja hapo. Kabikula!!!!
  14. G

    JamiiForums Tanzania Nyalandu anagawa kadi za CHADEMA misibani Singida

    Unatukana kuwa waliopewa vitambulisho wanafanana na madadapoa, acha kubeza kila kitu Kama matahaira au ni Sera zenu za Chadomo.
  15. G

    JamiiForums Tanzania Nyalandu anagawa kadi za CHADEMA misibani Singida

    Dawa ipo jikoni inatokota atainywa.
Back
Top Bottom