Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,774
Umshauri MTU anayejua kila kitu ,aliyesoma kombi zote ,jiniasi utamshauri vipi ?
Keshaanza kuona ukweli kwa vitendo. Sakata la korosho peke yake linatosha kumfanya ajue kuwa anadanganywa kila siku na pia si kila anachokifanya kina matokeo chanya. NHC sasa hivi ni disaster waiting to happen - well, alilikuta hilo la NHC lakini haonekani kuchukua hatua yeyote. NHC itaondoka na mabenki, watch this space.