Habari wadau
Kwa wakristo waliompokea Yesu kama neno linavyosema kwamba kufa chini ya 70 inaonekana sio mpenzi ya Mungu hasa maisha ya sasa ambayo RIP ZA vijana zimekuwa nyingi sana
Karibu tujadili
Hicho ni kifungo shetani huwa anatumia akili sana kufanya mtu ili asifanye maendeleo mara nyingi vitu unavyovipenda kuvifanya shetani huwa hakai mbali chunguza vitu unavyovipenda kuvifanya au mazingira unayopenda kushinda au marafiki unaowapenda kuwa nao wanaweza kuwa sababu ya mambo yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.