tatizo ni pale itakapobasti na hatojua kama imefanya ivo. ajaribu moja,mbili, tatu then aseto mwenyewe. sema mwana asikae sana kwenye zile za sh.100 unapewa tisa. sio.
na juu ya swali lako naomba niongezee jingine, tunakatwa ile 3% tununuapo umeme, inaenda wap wakati hata huu umeme wa mijini hapa unawashinda tanesco kuumaintain? KIINI MACHO
tatizo la wanaosema hamna mapenzi ya kweli sasa hivi ni kuwa: waoga wa kuwa heart broken.. wasiwasi wenu umekaa zaidi kwenye mwenzi wako kuiba/kuibiwa. usipokuwa na imani first kwenye mapenzi, sio rahisi mengine kufanikishwa..penda mtu, mengine yakitokea ni baadae, sio kwa kuwa umedinyiwa mwenzi...
hiyo ni tabia ya mtu binafsi (ngumi mkononi a.k.a ukatili) na si wanaume wote. Kwa upande wa kupenda chini, imekula kote coz mi najua wanawake wengi wanaoshabibia utamu nje ya ndoa vile vile...so tuhuma ziko kote. tusisimangane
Hapa hata mkuu wa nchi kutoa uamuzi huo jana, amechelewa kimtindo..mgawo ulishaanza kitambo saana kimya kimya..baadae sana tanesco ndo wakajibeba beba kuja kutoa taarifa wakati tiari mishipa ya shingo ishatuuma saana kwa kulalamika. mi nafikiri tangia wakati huo hii mitambo ilikuwa inaonekana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.