Naumia kuona jamii moja ya Watanzania ikiharibiwa na kitu kinaitwa SIASA.
Ni ugonjwa gani wa ubaguzi umetushika na kutufanya tuwe na akili mbaya hizi. Tunapaswa kusimama kujenga Taifa lenye haki na uhuru kwa kila mmoja tusiruhusu kuuana wenyewe kwa wenyewe.
Hii ni dalili mbaya sana kama Taifa...
Nilianza na buku 8 kwenye spin nimekula zaidi ya laki na 60 imekaa kwenye wallet.
Sina haja ya kugombana na makocha kutaka matokeo ni mwendo wa kuzungusha gurudumu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.