Hatumdanganyi, na sina maana kwamba aondoke sasa hivi, ninachozungumzia ni HATIMA yake. Yeye ni mzalendo mpenda haki, na CCM ni wabinafsi mafisadi, kuna tofauti hapa. Hata kama ataendelea kuwa ccm kutokana na alivyo kwao ni CHADEMA, Hiyo ndiyo hatima yake, akilazimisha kuwa ccm siku moja watam......