As time inaenda mbele vijana wanazidi kua na ugumu wa maisha
I think 25yrs kwao sahv ni acceptable
Mzee wa miaka 60 kumjudge kijana wa 25 sahv sioni ni haki
Wengi sana wangewekwa kizazi hiki wangetupa taulo
We nenda nayo town ingekua gari ningekutaza maana kikiwaka mpaka ufungue mlango uruke ni process ndefu ila hiyo ukiona jahazi linazama unaitanguliza mbele we unatua na miguu yako miwili unaendelea na harakati zako tena kama imeenda kuvamia machinga huko huifati usije lala sentro unaenda kuvua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.