Sasa mkuu hivi unamjua shetani au unamsikia tu, Hilo dude hata Mungu mwenyewe anamuheshimu/ wanaheshimiana (maana Wana nguvu Sawa) hadi huwa wanapiga story kabisa kuhusu binadamu (soma kitabu cha Ayubu). Lakini wewe mlokole wa Tandale huko kiiiila siku unaomba tu shetani toooooka, toooka. Aise...
Mkuu mi nimesema Sana na hao bacteria ila Mimi tumbo lilikuwa linauma mfurulizo hadi nilivyopiga doze zifuatazo saizi naona Niko fresh labda kama Hali utarudi baadae. Tumia hizi
1. Heligo kit siku 14
Hii ni kwaajili ya bacteria wanaosababisha vidonda vya tumbo then nikianza hii. Hii kidogo ni...
Mkuu Anza Kwanza kwa kuua bacteria wanaosababisha Hali hiyo. Mi nilikuwa namateso makubwa kuliko wewe hadi nilivyopewa hii dose hapa ndio Hali ikatulia
1. Hivi nanyinyi huwa mnakuwa na nyege?
2. Huwa pia mnawatamani kimapenzi baadhi ya wanaume mnaokutana nao barabarani kama Sisi tunavyotamani tukikutana na dem kisu na kajazia nyuma?
3. Huwa pia mnafanya musterbation?
4. Ni style gani huwa mnaipenda kwenye sita kwa sita?
4. Ni kitu gani au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.