Recent content by gubegubekubwa

  1. gubegubekubwa

    Shetani kama ni kidume avae mwili kama Yesu kristo aje Duniani alete hizi tabia zake za kipumbavu

    Sasa mkuu hivi unamjua shetani au unamsikia tu, Hilo dude hata Mungu mwenyewe anamuheshimu/ wanaheshimiana (maana Wana nguvu Sawa) hadi huwa wanapiga story kabisa kuhusu binadamu (soma kitabu cha Ayubu). Lakini wewe mlokole wa Tandale huko kiiiila siku unaomba tu shetani toooooka, toooka. Aise...
  2. gubegubekubwa

    DOKEZO Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limetelekeza Abiria Mwanza, hadi sasa hawajui hatma yao

    Aise nawewe kumbe ulimsoma vzr, Yule hamna kitu pale anawaza posho tu
  3. gubegubekubwa

    Watu weusi hatutaacha kudharaulika kamwe

    Umeandika kwa uchungu Sana na ni ukweli mtupu, mi ndiomaana huwa nakubali Sisi ni nyani tu kama wazungu wanavyotuita
  4. gubegubekubwa

    Je, Mtumishi wa Umma akijiuzulu kwa kufuata taratibu anaweza kurudi tena kwenye utumishi wa Umma baada ya kujiendeleza kielimu?

    Bro acha uongo hizo taasisi zote ulizotaja mshahara unatoka haina na Wana cheque nunber
  5. gubegubekubwa

    Viwanja Bunju Mabwepande

    Kwa ninavyojua DSM hakuna viwanja vya bei hiyo naona kutakuwa na shida sehemu ingekuwa chanika huko sawa
  6. gubegubekubwa

    Kwanini siponi amoeba

    Mkuu mi nimesema Sana na hao bacteria ila Mimi tumbo lilikuwa linauma mfurulizo hadi nilivyopiga doze zifuatazo saizi naona Niko fresh labda kama Hali utarudi baadae. Tumia hizi 1. Heligo kit siku 14 Hii ni kwaajili ya bacteria wanaosababisha vidonda vya tumbo then nikianza hii. Hii kidogo ni...
  7. gubegubekubwa

    Resistant H.pylori

    Hii ni taarifa muhimu sana, wahanga tuko wengi Sana aise asante
  8. gubegubekubwa

    Gastric na gesi tumboni inavyoniua

    Mkuu Anza Kwanza kwa kuua bacteria wanaosababisha Hali hiyo. Mi nilikuwa namateso makubwa kuliko wewe hadi nilivyopewa hii dose hapa ndio Hali ikatulia
  9. gubegubekubwa

    SPECIAL THREAD kuhusu Wanawake: Njoo uulize chochote kuhusu wanawake na sisi wadada na wamama wa JF tutakujibu

    1. Hivi nanyinyi huwa mnakuwa na nyege? 2. Huwa pia mnawatamani kimapenzi baadhi ya wanaume mnaokutana nao barabarani kama Sisi tunavyotamani tukikutana na dem kisu na kajazia nyuma? 3. Huwa pia mnafanya musterbation? 4. Ni style gani huwa mnaipenda kwenye sita kwa sita? 4. Ni kitu gani au...
  10. gubegubekubwa

    Msaada: Dawa ya kutibu tatizo la vidonda vya tumbo

    Hao ni bacteria Tu, dawa za asili hazitakusidia kanunue pharmacy tumia hii combination kuua hao bacteria
Back
Top Bottom