Recent content by gTurn

  1. gTurn

    JamiiForums Tanzania Magaidi wa Hezbollah walihusika na Mlipuko wa Beirut Lebanon mwaka 2020!!!

    Hata mimi sisikilizi Al jazeera
  2. gTurn

    JamiiForums Tanzania GRAPHIC VIDEO!! Magaidi wazidi kuangamizwa huko Gaza!!!

    Kama Gaidi hili, Kurdistan Mossad Hussen, uwe unaweka na hawa pia
  3. gTurn

    JamiiForums Tanzania Magaidi wa Hezbollah walihusika na Mlipuko wa Beirut Lebanon mwaka 2020!!!

    Hahahah mumeona mumuangushie jumba bovu Hizbollah, too late dunia inajua kua muuaji wa halaiki ni mzayuni Hizbollah hajawahi kuua mtu asiye na hatia, wauwaji wasio na mbinu za kivita wanajulikana na media control ambazo hamna mtu siku hizi anasikiliza Media za west
  4. gTurn

    JamiiForums Tanzania Aliingilia Msafara wa Mwenge na hicho ndicho Polisi waliamua kumfanyia. Je, ni haki?

    Kwanza mwenge wenyewe ni ushenzi na hasara tupu mlipa kodi
  5. gTurn

    JamiiForums Tanzania Mawazo yangu kuhusu siasa za 2030

    Kwa nilivyoiona bongo kuanzia vyama vya siasa, majeshi na wote wanaojifanya wanaweza kuongoza sisi kama taifa ni loosers, kama mahakama, bunge na serikali bado ni bando moja tutaendelea kusafa mpaka hapo malaika aongoze ila hakuna mtu wa kuongoza hii nchi. Kwa ushaidi wa hilo mbali na maumivu...
  6. gTurn

    JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran na Marekani: Iran Taifa la Mashahidi na Mashujaa

    Asante sana, mzee Said, dunia sasa sio enzi za mawe kitakacho sikika cnn na BBC ndio news walituchezea sana hawa
  7. gTurn

    JamiiForums Tanzania Nimeamua kubadili dini na kuwa mkristo. Yesu ni Mungu na wayahudi ni wateule wake

    Oya vipi unabadili vipi wewe ni mzayuni hata kabla
  8. gTurn

    JamiiForums Tanzania Israel Inatisha, Inaogopesha. Wairan Watoa Ya Moyoni Kwa Nini Israel Inaogopwa Sana na Iran

    Unakumbuka ile vita ya kwanza kabisa ya siku 12? Israel hawezi toboa wiki moja kama Air Defense Positions, za US(Iraq, Syria, Mediterranean Sea),Jordan, Saudia UAE na NATO zita kaa kimya Wallah hawezi. Israel wanasumbua kwasababu hizo ngao ndio maana muIran sasa hivi anashughulika sana na Gulf...
  9. gTurn

    JamiiForums Tanzania Ayatollah mpya wa Iran Ameogopa Kifo Kutoka Kwa Israel

    Bado kijana yule ana kazi nyingi za kufanya hata Ayatollah mwenyewe IRGC walikua wana muheshimu tu katika hali ya kawaida wasingeruhusu akae kwake kipindi cha tension kubwa kiasi kile na shambulizi walijua fika lina kuja aligoma mwenyewe kwenda kwenye safe house alikaa na wanafamilia tu Mojtaba...
  10. gTurn

    JamiiForums Tanzania Hili ndilo jeneza la Ayatollah Ali Khamenei ambaye Aliuawa kwa kushindiliwa mabomu huko Tehran Iran

    Niambie wewe pepo yako utafaidi nini? Halafu mbona mnasema mabkra tu na pombe kuna mengi mno peponi kila siku ni tafrija sasa nilikinywa pombe duniani nitamuabudu vipi Mungu maana pombe za dunia na Marangi ni aki na ukwa sasa zile verse za Quran unasoma vipi ukiwa nyingi bila kuvuruga...
  11. gTurn

    JamiiForums Tanzania Hili ndilo jeneza la Ayatollah Ali Khamenei ambaye Aliuawa kwa kushindiliwa mabomu huko Tehran Iran

    Nati zimelegezwa wewe, mbingu yenu ndio ina vurugu kelele za kwaya na magitaa sisi kila mtu na maghorofa yake na wake zake na tungi
  12. gTurn

    JamiiForums Tanzania Hili ndilo jeneza la Ayatollah Ali Khamenei ambaye Aliuawa kwa kushindiliwa mabomu huko Tehran Iran

    Yes haswaa na mimi najivunia danguro la pombe ya uzima na Allah atujaalie kheri tulifikie nyie nendeni bingu yenu ya kuimba simpo as that mbona pepo yetu inawahangaisha sana nyinyi makafiri? Kila mtu Aende pepo yake tuone nani atafaidi wa kuimba na mimi wa wake,nyama na pombe
  13. gTurn

    JamiiForums Tanzania Hili ndilo jeneza la Ayatollah Ali Khamenei ambaye Aliuawa kwa kushindiliwa mabomu huko Tehran Iran

    What a moment, legend ameacha Iran imara kwa kipindi cha uongozi wake zaidi ya miaka 30 now ni supa pawa nation. Wewe yana kuhusu nini mazishi yake na mgao wake warembo
  14. gTurn

    JamiiForums Tanzania Iran ijiandae kupigwa- Waziri wa Ulinzi wa Israel Katz

    Huyo ni mmarekani Israel ni kichaka tu hapo ni aki na ukwa hao wanalenga kupunguza hasara zao katika middle East, hivyo muajemi atwange maslahi yao middle east vile vile hao ni kitu kimoja
  15. gTurn

    JamiiForums Tanzania Israel Bado Wanapiga Lebanon. Hivi Ndivyo Viongozi Wa Iran Wanavyowafanya Midoli Wafuasi wao

    Hivi ndio uhalisia wa unafiki, timu ya uokoaji ya mashetani mzayuni imeenda Venezuela huku watoto waliofukiwa hai wako chini ya kifusi Gaza, ************** 🇵🇸 🇻🇪 🇮🇱 Image on the left shows Israeli rescue arrives in Venezuela. Image on the right shows Israelis bombed a three-storey...
Back
Top Bottom