Recent content by gTurn

  1. gTurn

    Je mazoezi haya nayofanya hayawezi kuniletea madhara kiafya?

    Mimi nafanya walking ya 20-25 km nakula mara 2 kwa siku basi
  2. gTurn

    Defense Sector Panicking: Israel is defenseless against Iranian Missiles

    Hivi 1% ya laki moja ni ngapi? Yaani asilimia moja ya jambo lolote kubwa ni massive mnachanganywa na asilimia eti yaani mfano US akupige na asilimia moja ya nuclear madhara yake utahimili? Acheni ujinga asilimia moja imefuta kambi
  3. gTurn

    Waarabu ni wanafiki na waoga mno, wameshindwa kuisaidia Palestina na Iran

    Quran haisemi Israeli inasema wana wa Israel ndio inawatambua
  4. gTurn

    Israel yatoa hofu kwa mataifa ya Kiarabu kwamba haitawagusa

    Iran hajaanzisha kajibu kuuliwa kwa makamanda 7katika ubalozi wake nchi ni Syria
  5. gTurn

    Kupigana kwa Israel na Iran ni mipango ya Mungu kuipa ushindi Hamas

    Allah ni mbora wa mipango na alikianzisha na muiran balaa lake litakua kubwa sana hapo middle east. Maana kila nchi itakayo husika itapewa dozi yake kulingana na upumbavu wake
  6. gTurn

    Shikamoo "Muajemi"; Umeguswa, Umenuka!

    Ndio maana hapo chini nineongelea kisasi quran imefundisha namna bora ya kulipa kisasi Qurani 2:194 aliyewachokoza mchokozeni kwa kadri alivyowachokoza. 42:42. Malipo ya ubaya huo sawa na ubaya huo 5:45 ....nafsi kwa nafsi 17:33 ..onyo usipite mpaka katika kulipa kisasi. Kama hamasi kaua...
  7. gTurn

    Shikamoo "Muajemi"; Umeguswa, Umenuka!

    Us walipewa 72 hours na alichofanya iran alijua wanauwezo nacho ndio maana aliamua kuwakeep busy ili apige target yake. Uislam haufundishi kuuua asiehusika katika vita. So wao walitaka kulipa familia za marehemu kisasi chao kwa kambi iliyolipua watu wao.
  8. gTurn

    Netanyahu asitisha mpango wa kulipiza kisasi kwa Iran baada ya kukosa sapoti ya Marekani

    Sasa Israel analipa nini wakati irani ndio kalipa shambulio la ubalozi wake. Mi nafikiria hyo Israeli kupigana na iran yatakuwa ni machafuko ya karne iran sio mnyonge kama gaza
  9. gTurn

    Natenyahu akubaliana na kilichopo mezani

    Kiongozi kaongea maneno mazito sana. Hapo ulimwengu ndio uelewe Muhammad SAW katuachia dini imara sana ya Mwenyezi Mungu wa kweli. Siku Tanzania tukipata viongozi wawajibikaji na watenda haki ndio utakua mwisho wa umaskini. Quran 103 *Naapa kwa Zama *Hakika binadamu bila ya shaka yumo katika...
  10. gTurn

    Gaza: Ismail Haniya

    Hivi unadhani Israeli itakua na amani daima kwa walichokifanya Gaza? Mimi naona tatizo liko pale pale netanyahu anachokifanya sasahivi kitaendelea na wanachokifanya hamasi kitaendelea daima hivyo ni muda tuu
  11. gTurn

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Jana nimchek game zote asee Madrid sio wa kuomba kukutana naye wanampira objective Sana hawana masiala ya pasi side ways then wanamwendo na technical wako classic Sana asee uefa sio masihara
  12. gTurn

    Sababu ya Single mother kutengwa na wanaume

    Hivi arsenal saa ngap
  13. gTurn

    Uislamu ungeacha kuambatana na ukatili ingelikuwa dini moja safi sana

    Huo ukatili ndio unaofanya manyangu yasio na dini yasitupelekeshe kutuamulia mambo yenu nyie mnawalegezea matokeo yake ndio mnapelekewa moto midume mizima inalilia ndoa ya kufirika
  14. gTurn

    Iran yageuza gia angani, yasema haitalipa kisasi kwa Israel kama wakisitisha vita Gaza

    Mavitabu meeengi mbona yahya yumo kwenye handaki hapo hapo Gaza hao wazayuni hawamtoi? vita sio porojo ni field work hamas tu anamtoa jasho hana chakula
  15. gTurn

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Kama kawaida timu letu leo man u mnaweza liva ashakata moto yule
Back
Top Bottom