Hivi 1% ya laki moja ni ngapi? Yaani asilimia moja ya jambo lolote kubwa ni massive mnachanganywa na asilimia eti yaani mfano US akupige na asilimia moja ya nuclear madhara yake utahimili? Acheni ujinga asilimia moja imefuta kambi
Allah ni mbora wa mipango na alikianzisha na muiran balaa lake litakua kubwa sana hapo middle east. Maana kila nchi itakayo husika itapewa dozi yake kulingana na upumbavu wake
Ndio maana hapo chini nineongelea kisasi quran imefundisha namna bora ya kulipa kisasi
Qurani 2:194 aliyewachokoza mchokozeni kwa kadri alivyowachokoza.
42:42. Malipo ya ubaya huo sawa na ubaya huo
5:45 ....nafsi kwa nafsi
17:33 ..onyo usipite mpaka katika kulipa kisasi.
Kama hamasi kaua...
Us walipewa 72 hours na alichofanya iran alijua wanauwezo nacho ndio maana aliamua kuwakeep busy ili apige target yake. Uislam haufundishi kuuua asiehusika katika vita. So wao walitaka kulipa familia za marehemu kisasi chao kwa kambi iliyolipua watu wao.
Sasa Israel analipa nini wakati irani ndio kalipa shambulio la ubalozi wake. Mi nafikiria hyo Israeli kupigana na iran yatakuwa ni machafuko ya karne iran sio mnyonge kama gaza
Kiongozi kaongea maneno mazito sana. Hapo ulimwengu ndio uelewe Muhammad SAW katuachia dini imara sana ya Mwenyezi Mungu wa kweli. Siku Tanzania tukipata viongozi wawajibikaji na watenda haki ndio utakua mwisho wa umaskini.
Quran 103
*Naapa kwa Zama
*Hakika binadamu bila ya shaka yumo katika...
Hivi unadhani Israeli itakua na amani daima kwa walichokifanya Gaza? Mimi naona tatizo liko pale pale netanyahu anachokifanya sasahivi kitaendelea na wanachokifanya hamasi kitaendelea daima hivyo ni muda tuu
Jana nimchek game zote asee Madrid sio wa kuomba kukutana naye wanampira objective Sana hawana masiala ya pasi side ways then wanamwendo na technical wako classic Sana asee uefa sio masihara
Huo ukatili ndio unaofanya manyangu yasio na dini yasitupelekeshe kutuamulia mambo yenu nyie mnawalegezea matokeo yake ndio mnapelekewa moto midume mizima inalilia ndoa ya kufirika
Mavitabu meeengi mbona yahya yumo kwenye handaki hapo hapo Gaza hao wazayuni hawamtoi? vita sio porojo ni field work hamas tu anamtoa jasho hana chakula
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.