Kama vita ni mashambulizi ya hivi nadhani houth wangelikua hawana serikali sembuse Irani? Hapa mbungi ya ardhini ndio italeta majibu sio vijikombora watu viwanda viki chini ya milima
Nilichoshuhudia Kwa muyemeni mwaka Jana alipgwa mabomu ambayo unasema kesho yake haamki ndege zaidi ya mia Kwa mpigo, lakini baada ya nusu Sana kombora linatua tel aviv au Baharini..Kwa tukio Hilo niseme TU US-ISRAEL hawawezi kufanya chochote Kwa muiran Kwa kurusha TU vijibomu never!
Iran hana mpango Wala hakuwa na mpango huo, Iran anajua bila kuvuruga US huwezi kumshinda Israel, Iran sio vichaa sasahivi ndio anapigana battle halisi maana kurusha makombara tel aviv huku wamarekani wapo ME ni kupoteza muda, na Iran kumtwanga mzayuni bila US ni kazi ya wiki TU.
🇮🇱🇺🇸⚡️🇮🇷 Israeli Broadcasting Corporation: The goals of the war in Iran must be re-evaluated as we are not progressing at the previously planned pace.
The difficulty of pushing the Iranian people to go out in large numbers to the streets is one of the challenges.
🌟🤔Revolutionary Guard spokesman Brigadier General Ali Mohammad Naeini:
Doesn't Trump claim to have destroyed the Iranian navy? Then let him send his warships into the Gulf region if he has the courage.
Hivi nyie taarifa za vita mnazipatia wapi? Mbona Kila siku viongozi wa Israel na US Wana lambishwa mchanga? Hivi mnadhani Kwa mnavyofichwa Kama sio mtu wa kufukunyua huwezi pata. Mnalishana upupu humu
We boya Mimi huwezi kunikuta nafuatilia taarifa za X Kwamba kuanzia vita ianze Israel kafa mwanamke mmoja, manina zenu Mimi Hezbollah wakirusha Hata jiwe muda huo huo napata taarifa mpaka idadi ya walio kufa,mpaka video Hezbollah wanatoa kila operation na IRGC hivyo hivyo, Hezbo wanarekodi...
Narudia Tena mtandao wa X umejaa mazayuni watupu kwaajili ya propaganda na wAnachoanzisha ni wao wenyewe nakujijibu IRGC hawajawahi kutoa taarifa y kumuua shetani, na wao wanajuA saivi anajificha hizo tarif ni za wahuni tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.