Lazima muelewe uislamu sio taasisi kama ulivyo ukristo Uislamu ni dini, hivyo mambo ya kujenga shule mahospitali sio kipaumbele kilicho kipaumbele ni kusoma haijalishi unasoma wapi, halafu ninachoona hapa hii ni general Africa our continent is poor haijalishi population hata huo temeke ukifanya...
Siasa sio lazima uwe kiongozi wa uma unaweza kufanya siasa bila kuwa kiongozi kama Chadema wanavyofanya, CCM ni wehu ndio wao wanapanga uchaguzi na uongozi lakini hawawajibiki na matatizo ya nchi hii, kama wao ni wanasiasa huwezi kuweka mtu maarufu awe kiongozi bila kujali uwezo wake wa kuongoza...
Hio inayowafanywa na hao wajalaana IDF ni show off tu, Hezbollah kama IRGC huwezi kuwazuru kwa kushambulia makazi ndio maana vita haviishi wao wanatwanga IDF, IDF wanatwanga raia kuipa serikali ya Lebanon hofu ila Hezbollah nayo inaogopwa na serikali
Sasa kwanini Ceasefire? Kwanini wasimmalize muirani kama wao technology yao na uwezo wa kivita ni mkubwa kuliko muirani? Kwanini wanapoteza muda kwenye mazungumzo? Kuna kitu hakipo sawa.
Lebanon ni pachungu mno, ila anae umia ni raia, hezb wako mbali wanagonga kwa drones na missiles kama muiran anavyopigana tu hapo ni ngumu kwa IDF kuwamaliza
Hujui kua kiongozi wa ISIS ni amepewa urais wa Syria na Israel -US? Hakuna muislam wa hivyo, vikundi vyote hivyo umetaja ni vya kupigania haki zao sio magaidi kama US anavyosema ukitoa IS na boko haram wanaofadhiliwa na US-Nigeria
🌟_Hezbollah carried out more than 33 operations against Israel so far today, most of them using FPV drones to target soldiers, tanks, artillery positions and command centers in southern Lebanon
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.