Recent content by gTurn

  1. gTurn

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kama vita ni mashambulizi ya hivi nadhani houth wangelikua hawana serikali sembuse Irani? Hapa mbungi ya ardhini ndio italeta majibu sio vijikombora watu viwanda viki chini ya milima
  2. gTurn

    Israel alichowafanya viongozi wa Iran ni kufuru, hii ni picha ya viongozi wakubwa kabla ya vita na sasa

    Nilichoshuhudia Kwa muyemeni mwaka Jana alipgwa mabomu ambayo unasema kesho yake haamki ndege zaidi ya mia Kwa mpigo, lakini baada ya nusu Sana kombora linatua tel aviv au Baharini..Kwa tukio Hilo niseme TU US-ISRAEL hawawezi kufanya chochote Kwa muiran Kwa kurusha TU vijibomu never!
  3. gTurn

    Kumbe Iran wana makombora yanayofika hadi Ulaya?

    Muajemi halafu muislam hio kombination mwenye akili lazima akae nayo mbali
  4. gTurn

    Kiongozi aliyezima maandamano kwa kuua raia Iran naye auawa

    Je kuuuawa kwake kumesitisha makombora kunyesha? Lazima uelewe mvua hii haikatishwi na kamanda mmoja kufa itannyesha mpaka siku mzayuni atie akili
  5. gTurn

    The financial times: Iran inapata faida kubwa kwenye vita, Urusi yaondolewa vikwazo

    Muajemi hajawahi kushinda vita ni wapiganaji haswa Hata muarabu anajua hili
  6. gTurn

    Lengo la Iran ni kuifuta Israel, Wayahudi wenyewe nusu yao wapo Iran kama wapelelezi

    Iran hana mpango Wala hakuwa na mpango huo, Iran anajua bila kuvuruga US huwezi kumshinda Israel, Iran sio vichaa sasahivi ndio anapigana battle halisi maana kurusha makombara tel aviv huku wamarekani wapo ME ni kupoteza muda, na Iran kumtwanga mzayuni bila US ni kazi ya wiki TU.
  7. gTurn

    Trump aituhumu Iran kutumia AI kusambaza taarifa za uongo kuhusu mgogoro unaoendelea kati yao

    Huyu Mzee wasipo muwahi ataokota makopo, kapgawa na muajemi vinu vinashuka balaa Tena vya mwaka below 2016 Sasa hivi vipya vitampararalyse
  8. gTurn

    Netanyahu "Bibi" Jioni hii Kapost kwenye Mtandao wa X

    Sio kazi ndogo nitakua nimejipa uandishi wa habari bila malipo
  9. gTurn

    Netanyahu "Bibi" Jioni hii Kapost kwenye Mtandao wa X

    🇮🇱🇺🇸⚡️🇮🇷 Israeli Broadcasting Corporation: The goals of the war in Iran must be re-evaluated as we are not progressing at the previously planned pace. The difficulty of pushing the Iranian people to go out in large numbers to the streets is one of the challenges.
  10. gTurn

    Netanyahu "Bibi" Jioni hii Kapost kwenye Mtandao wa X

    🌟🤔Revolutionary Guard spokesman Brigadier General Ali Mohammad Naeini: Doesn't Trump claim to have destroyed the Iranian navy? Then let him send his warships into the Gulf region if he has the courage.
  11. gTurn

    Netanyahu "Bibi" Jioni hii Kapost kwenye Mtandao wa X

    Hivi nyie taarifa za vita mnazipatia wapi? Mbona Kila siku viongozi wa Israel na US Wana lambishwa mchanga? Hivi mnadhani Kwa mnavyofichwa Kama sio mtu wa kufukunyua huwezi pata. Mnalishana upupu humu
  12. gTurn

    Netanyahu "Bibi" Jioni hii Kapost kwenye Mtandao wa X

    Uongo Haina dini, hivi Kuna muongo zaidi ya mzayuni na west?
  13. gTurn

    Inadaiwa Mojtaba Khamenei ametoroshwa kinyemela kwenda Russia kutibiwa

    We boya Mimi huwezi kunikuta nafuatilia taarifa za X Kwamba kuanzia vita ianze Israel kafa mwanamke mmoja, manina zenu Mimi Hezbollah wakirusha Hata jiwe muda huo huo napata taarifa mpaka idadi ya walio kufa,mpaka video Hezbollah wanatoa kila operation na IRGC hivyo hivyo, Hezbo wanarekodi...
  14. gTurn

    Netanyahu "Bibi" Jioni hii Kapost kwenye Mtandao wa X

    Narudia Tena mtandao wa X umejaa mazayuni watupu kwaajili ya propaganda na wAnachoanzisha ni wao wenyewe nakujijibu IRGC hawajawahi kutoa taarifa y kumuua shetani, na wao wanajuA saivi anajificha hizo tarif ni za wahuni tu
Back
Top Bottom