Recent content by gTurn

  1. gTurn

    JamiiForums Tanzania Israel yaendelea kuishambulia Iran. Yataka Vita ianze au iendelee. Yapiga maeneo nyeti ya Kijeshi

    Iran kapiga makombora mapya alikua akiyajaribu leo kwa mara ya kwanza, so baadhi ni mapya kabisa walisema ardhi ya majaribio ni kwa mazayuni
  2. gTurn

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo sababu ya pengo la maendeleo kati ya Wakristo na Waislamu kwetu Watanzania wa asili

    Lazima muelewe uislamu sio taasisi kama ulivyo ukristo Uislamu ni dini, hivyo mambo ya kujenga shule mahospitali sio kipaumbele kilicho kipaumbele ni kusoma haijalishi unasoma wapi, halafu ninachoona hapa hii ni general Africa our continent is poor haijalishi population hata huo temeke ukifanya...
  3. gTurn

    JamiiForums Tanzania Kiongozi mkuu wa CHADEMA akisema chama hakitashiriki tena uchaguzi 2030, mtafanyaje wana CHADEMA?

    Siasa sio lazima uwe kiongozi wa uma unaweza kufanya siasa bila kuwa kiongozi kama Chadema wanavyofanya, CCM ni wehu ndio wao wanapanga uchaguzi na uongozi lakini hawawajibiki na matatizo ya nchi hii, kama wao ni wanasiasa huwezi kuweka mtu maarufu awe kiongozi bila kujali uwezo wake wa kuongoza...
  4. gTurn

    JamiiForums Tanzania Tishio la Iran lagonga Mwamba IDF yaendelea na kipondo kwa Magaidi wa Hezbollah huko Lebanon

    Hio inayowafanywa na hao wajalaana IDF ni show off tu, Hezbollah kama IRGC huwezi kuwazuru kwa kushambulia makazi ndio maana vita haviishi wao wanatwanga IDF, IDF wanatwanga raia kuipa serikali ya Lebanon hofu ila Hezbollah nayo inaogopwa na serikali
  5. gTurn

    JamiiForums Tanzania Kombora la kisasa la Israel liitwalo “Jericho” litazinduliwa kwa kuipiga Iran Kama italeta mchezo!!!

    Sasa kwanini Ceasefire? Kwanini wasimmalize muirani kama wao technology yao na uwezo wa kivita ni mkubwa kuliko muirani? Kwanini wanapoteza muda kwenye mazungumzo? Kuna kitu hakipo sawa.
  6. gTurn

    JamiiForums Tanzania Mazungumzo yanayo endelea kati ya US na IRAN sio halisi

    Lebanon ni pachungu mno, ila anae umia ni raia, hezb wako mbali wanagonga kwa drones na missiles kama muiran anavyopigana tu hapo ni ngumu kwa IDF kuwamaliza
  7. gTurn

    JamiiForums Tanzania Waislamu wafurika kwenye mlima Minna huko Saudi-Arabia kusherehekea Idd!!

    Kuna waislamu na kuna waarabu, mbona waajemi hawana mambo hayo?
  8. gTurn

    JamiiForums Tanzania Waislamu wafurika kwenye mlima Minna huko Saudi-Arabia kusherehekea Idd!!

    Hujui kua kiongozi wa ISIS ni amepewa urais wa Syria na Israel -US? Hakuna muislam wa hivyo, vikundi vyote hivyo umetaja ni vya kupigania haki zao sio magaidi kama US anavyosema ukitoa IS na boko haram wanaofadhiliwa na US-Nigeria
  9. gTurn

    JamiiForums Tanzania Waislamu wafurika kwenye mlima Minna huko Saudi-Arabia kusherehekea Idd!!

    Boya mmoja wewe mmeshachotwa na media za ki west na maneno to ya propaganda uchwara, hakuna muislam gaidi duniani
  10. gTurn

    JamiiForums Tanzania Muarobaini wa Drones(fiber-optic drones) za Hezbollah Wapatikana!!

    Sasa ingekuwa drone si kitu au inaua mmoja mmoja msingekaa vikao kusema hizo drone ni tishio utafutwe muarobaini
  11. gTurn

    JamiiForums Tanzania Muarobaini wa Drones(fiber-optic drones) za Hezbollah Wapatikana!!

    Sio mara ya kwanza kushambulia suluhu na Hezbollah haiwezi kupatikana kwa mabomu
  12. gTurn

    JamiiForums Tanzania Muarobaini wa Drones(fiber-optic drones) za Hezbollah Wapatikana!!

    🌟_Hezbollah carried out more than 33 operations against Israel so far today, most of them using FPV drones to target soldiers, tanks, artillery positions and command centers in southern Lebanon
  13. gTurn

    JamiiForums Tanzania Muarobaini wa Drones(fiber-optic drones) za Hezbollah Wapatikana!!

    Hao ni raia wema wanapigwa Israel kasema atashambulia raia ili kushinikiza Hezbollah apunguze moto
  14. gTurn

    JamiiForums Tanzania Muarobaini wa Drones(fiber-optic drones) za Hezbollah Wapatikana!!

    Video zote Mnazo chinjwa na drone ninazo maana zina kamera hivyo taarifa tunazo kawadamganye walokole ambao hawana habari
  15. gTurn

    JamiiForums Tanzania Muarobaini wa Drones(fiber-optic drones) za Hezbollah Wapatikana!!

    Mlidhani tatizo ni nasrallah amekuja shekh Naim
Back
Top Bottom