Hahahah mumeona mumuangushie jumba bovu Hizbollah, too late dunia inajua kua muuaji wa halaiki ni mzayuni Hizbollah hajawahi kuua mtu asiye na hatia, wauwaji wasio na mbinu za kivita wanajulikana na media control ambazo hamna mtu siku hizi anasikiliza Media za west
Kwa nilivyoiona bongo kuanzia vyama vya siasa, majeshi na wote wanaojifanya wanaweza kuongoza sisi kama taifa ni loosers, kama mahakama, bunge na serikali bado ni bando moja tutaendelea kusafa mpaka hapo malaika aongoze ila hakuna mtu wa kuongoza hii nchi.
Kwa ushaidi wa hilo mbali na maumivu...
Unakumbuka ile vita ya kwanza kabisa ya siku 12? Israel hawezi toboa wiki moja kama Air Defense Positions, za US(Iraq, Syria, Mediterranean Sea),Jordan, Saudia UAE na NATO zita kaa kimya Wallah hawezi.
Israel wanasumbua kwasababu hizo ngao ndio maana muIran sasa hivi anashughulika sana na Gulf...
Bado kijana yule ana kazi nyingi za kufanya hata Ayatollah mwenyewe IRGC walikua wana muheshimu tu katika hali ya kawaida wasingeruhusu akae kwake kipindi cha tension kubwa kiasi kile na shambulizi walijua fika lina kuja aligoma mwenyewe kwenda kwenye safe house alikaa na wanafamilia tu Mojtaba...
Niambie wewe pepo yako utafaidi nini? Halafu mbona mnasema mabkra tu na pombe kuna mengi mno peponi kila siku ni tafrija sasa nilikinywa pombe duniani nitamuabudu vipi Mungu maana pombe za dunia na Marangi ni aki na ukwa sasa zile verse za Quran unasoma vipi ukiwa nyingi bila kuvuruga...
Yes haswaa na mimi najivunia danguro la pombe ya uzima na Allah atujaalie kheri tulifikie nyie nendeni bingu yenu ya kuimba simpo as that mbona pepo yetu inawahangaisha sana nyinyi makafiri?
Kila mtu Aende pepo yake tuone nani atafaidi wa kuimba na mimi wa wake,nyama na pombe
What a moment, legend ameacha Iran imara kwa kipindi cha uongozi wake zaidi ya miaka 30 now ni supa pawa nation. Wewe yana kuhusu nini mazishi yake na mgao wake warembo
Huyo ni mmarekani Israel ni kichaka tu hapo ni aki na ukwa hao wanalenga kupunguza hasara zao katika middle East, hivyo muajemi atwange maslahi yao middle east vile vile hao ni kitu kimoja
Hivi ndio uhalisia wa unafiki, timu ya uokoaji ya mashetani mzayuni imeenda Venezuela huku watoto waliofukiwa hai wako chini ya kifusi Gaza,
**************
🇵🇸 🇻🇪 🇮🇱 Image on the left shows Israeli rescue arrives in Venezuela.
Image on the right shows Israelis bombed a three-storey...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.