Tusipoteze muda na harakati zetu za kutaka mabadiliko,wanaomshabikia Slaa ni CCM waliomtuma,hao hao wakati yuko Chadema walimuita mzushi muongo na kutishia kumpeleka Mahakamani,leo hii wanamuita msema kweli,kwa upande mwingine,kama Lowasa ni Fisadi alifanya ufisadi akiwa CCM na sasa ameondoka...