Recent content by GTesha

  1. G

    Hatimaye K Lyn (Jacqueline Ntuyabaliwe) achumbiwa na Reginald Mengi

    Hakuna Mr Machache huko anayembwelambwela na mie nikajiongeze?? Maana hapo stress hakuna kabisa
  2. G

    Le mutuz na Lulu wakila bata: u know, le tamkoz coming soon

    Le mutuz akili yako ni ndogo kama punje ya ubuyu.
  3. G

    Sony Xperia U

    bei ya mwisho? serious buyer
  4. G

    SNURA AMEVURUGWA WACHA WEE SIJUWI NANI KAMVURUGA SNURa

    kanivuruga na mimi, ndo nini kuweka wanafunzi?? kashindwa kuchukua wauswazi wenzie??
  5. G

    Tanzania chimbuko la mapenzi ya kweli (true love)angalia kwa picha

    hawa wenzetu siku wakigeuza kibao, patachimbika hapo....... wapo wengi etiii....
  6. G

    Tume ya nini mbona majibu yako wazi?

    Najiuliza kwani nazo zimesajiriwa vipi........
  7. G

    Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

    Fungameza tuodie...... Ir hiyooo
  8. G

    Tamaa mbaya baba mchungaji

    acha unafiki wewe.......
  9. G

    Nataka kuanza kunywa pombe, ushauri please

    Usisahau inakurudisha hali ya utoto..... Kujinyea, kujikojolea, kutapika na hata kuchambishwa.....
  10. G

    Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

    Kusamehewa deni ndo kukunyimwa mkopo mkopo mwingine
  11. G

    Hatimaye Anti Ezekiel afunga ndoa

    mimi namtakia kila la kheri huyu dada, naamini atatulia na kutengeneza familia nzuri na kuwa mama mzuri sana, asonge mbele asirudi nyuma aliko toka.
  12. G

    Wanatwangwana baada ya kumfumani......

    umekunywa ulansi wangu kulipa hutaki, leo ndo utanitambua nakwambia
  13. G

    HII ni hapahapa TANZANIA...

    igo ndo ndege gani kwa lugha yetu ya taifa? msaada jamani wengine hizi lugha bado ni gongana kwa kichwa
  14. G

    Miss Tanzania 2000 Jacqueline Ntuyabaliwe amejaaliwa mapacha...

    jamani mna uhakika kama hawa watoto na wa yule mzee? ngoja mfanyiwe suprise na mwenye mali mtajuta!
  15. G

    PICHA: Rais Kikwete katika ziara rasmi Ottawa, Canada

    ameanza? si nilisikia no more safaris?
Back
Top Bottom