Recent content by gstar

  1. gstar

    Kutoka X: Kashfa nzito yaibuliwa “watekaji” walivyouawa na polisi Mbeya

    MSHAHARA WA DHAMBI NI MAUTI. Mwandishi: Hilda Newton (Twitter, X) Juzi RPC wa Mkoa wa Mbeya alitangaza kupitia vyombo vya Habari kwamba Jeshi hilo limewauwa watuhumiwa watatu wakati wakijaribu kuwakimbia Polisi. Watuhumiwa hao ni Marwa Nyahende, Edward Kayuni na Websta Mwantebele lakin ukweli...
  2. gstar

    Mataifa ya wenzetu wanakesha wanatafuta scholarship, ajira za kimataifa, network za biashara lakini huku wanakesha wanaskiliza press za Polepole

    Kwanini watafute scholarship ya kwenda nje na wana nchi yao inabagazwa na wahuni wachache?
  3. gstar

    Mapungufu ya hoja ya mifumo kusomana je, taifa gani mifumo haisomani

    Kwahiyo CCM pia inasomana ili iweje? Umekuja kutetea ujinga?
  4. gstar

    Tanzania hatupigi kura kidigitali kwamba mtu akiwa na NIDA tayari kapiga kura, tunapiga kura kwenye boksi zinahesabiwa mbele ya mawakala

    Baada ya matokeo kuhesabiwa kura zinaingizwa kwenye mfumo wa Computer. mwenye haki ya kutangaza matokeo ni mwenyekiti wa tume ya uchaguzi. Kura nyingi feki na za maruhani huingizwa kwa mtindo huu wa karatasi zilozokwoisha tikiwa tayari. kujustify wizi huo lazima mfumo utempiwe ili waweze kupata...
  5. gstar

    Namna CCM wanavyonufaika kwa kuunganisha mfumo wa NEC na mfumo wa NIDA kufanikisha wizi wa kura

    Kwenye kila mfumo Kuna front end na back end. Front end inahusisha user interface hapo ndio authorization kama passwords hutumika hii ni kwa watumiaji wa kawaida. Kwenye backend kunahusisha codes na algorithms pamoja na database (yaani taarifa zulizo hifadhiwa) only authorized people Huwa na...
  6. gstar

    Namna CCM wanavyonufaika kwa kuunganisha mfumo wa NEC na mfumo wa NIDA kufanikisha wizi wa kura

    Ipi faida ya kuunganisha mifumo mitatu kwa pamoja. Mfumo wa NEC, Mfumo wa NIDA na mfumo wa CCM. Kikawaida watu wengi wanaamini kwamba tume ya Taifa ya uchaguzi tulioipa dhamana ya kulinda kura zetu itatenda haki bila hata ufuatiliaji. Hata hivyo imeonekana kwamba tume ya Taifa ya uchaguzi...
  7. gstar

    GE2025 Kada wa CCM apinga uteuzi wa Samia kugombea urais (Barua kwa msajili wa vyama)

    Ndug. Davidilevi Nestory Kindikwa Mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) KWIMBA, MWANZA Kwa MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA Viwanja vya Nanenane Nzuguni S.L. P 2851 DODOMA. YAH: MGOMBEA URAIS WA CHAMA CHETU CHA CCM KUKOSA SIFA Tafadhali rejea somo la hapo juu. Mimi ni mwanachama wa Chama cha...
  8. gstar

    GE2025 CHAUMMA 'aka Futuhi' mnatuchukuliaje kumuweka mgombea wa urais eti Salum Mwalimu?

    Kumuweka mgombea wa uraisi eti Salum Mwalimu. Geresha hii, haya makapi yaliyojichuja kutoka CHADEMA yataambia nini wananchi ili wawaamini? Watanzania sio wajinga kuwahadaa kwa maneno ya uwongo wakati tunajua mchongo mzima. Anayewacontrol ni mama kizimkazi lengo kuwahadaa mataifa ya magharibi...
  9. gstar

    Nifanyeje? Mpangaji mwenzangu amekuwa ombaomba sana mpaka kero

    Wape kwa uwezo wako hiyo ni sadaka safi mbele za Mungu, maisha ya Dar es Salaam ni magumu ukichukulia tena mzigo wa kulea watoto wa 5 sio mchezo.
  10. gstar

    FBI walivyobaini utapeli na ugaidi wa Nabii Rashnishi toka India

    Kuanzia 1981 mpaka 2010 imeshafika miaka 100?
  11. gstar

    Afadhali ushike jembe ukalime, kuliko kuomba sala hii

    W.a.j.i.n.g.a nyinyi, Romana causa finita lucuta
  12. gstar

    Kati ya Yohana na Mathayo yupi iko sahihi katika hili licha ya kuwa wote walishushiwa ufunuo wa "roho mtakatifu"

    Hapa kuna Yohana wawili unawachanganya, Yohana Mbatizaji na Yohana Mwanafumzi wa Yesu ndiye aliyeandika Injili. Ndio maana point yako haieleweki
  13. gstar

    JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    NO REFORM NO ELECTION
  14. gstar

    PreGE2025 Makonda sio mwenyeji wa Arusha, ubunge anatafuta 'ulaji' na sio service

    Ubunge kwa maana halisi ya uwakilishi wa wananchi ni kwa yule mzawa ama mkazi wa muda mrefu wa eneo husika na sio aliyekwenda kwa ajili ya kutafuta fursa ya "ulaji". Je Makonda ana asili ya Arusha? iweje kung'ang'ania Jimbo la Arusha alikopelekwa kwa kazi ya kiserikali ya ukuu wa mkoa? mpaka...
Back
Top Bottom