Mimi ni mhanga wa watu kama nyinyi, wakati mtoto analelewa na mwanaume mwingine wewe ulikuwa wapi, leo hii unaleta pua eti mtoto ni wa kwako, ulifuata taratibu ama ulikuja kinyemela kuiba mtoto? uache kuingilia mapenzi ya watu na hiyo adhabu waliyokupa haikutoshi.
Ahsante sana mkuu kwa ufafanuzi huu, swali ni kuwa, huyo mchafuzi aliyeleta matusi ambaye kwa maelezo yako ni Juma Kilaza ni matusi gani aliyaleta, Kuna wimbo wowote unao ukumbuka ambayo ilikuwa wa matusi moja kwa moja. Kwa Moro Jazz?
Ikiwa unadhani kwamba kukatika kwa umeme nchi nzima kulikotokea lao tarehe 27 June saa 1 kamili usiku ni hitilafu ya kawaida ya mitambo ya kufua umeme utakuwa umekubali kudanganyika kirahisi mno. Kuzima umeme nchi nzima kamwe hakuwezi kuwa ni tukio la bahati mbaya wala kuhusianishwa na tangazo...
Hapo inakuwaje wadau, eti mwanamke anasema, sikupi mambo mpaka ujitambulishe kwetu na huku mwanaume naye anakaza kamba, anataka kwanza aonje utamu ndio ajue kama yaliyomo yamo akinogewa ndio ajitokeze kwa wazazi kubeba mzigo jumla, nani yupo sahihi hapo?
Kwa upande wangu siwezi kuuziwa mbuzi...
MSHAHARA WA DHAMBI NI MAUTI.
Mwandishi: Hilda Newton (Twitter, X)
Juzi RPC wa Mkoa wa Mbeya alitangaza kupitia vyombo vya Habari kwamba Jeshi hilo limewauwa watuhumiwa watatu wakati wakijaribu kuwakimbia Polisi.
Watuhumiwa hao ni Marwa Nyahende, Edward Kayuni na Websta Mwantebele lakin ukweli...
Baada ya matokeo kuhesabiwa kura zinaingizwa kwenye mfumo wa Computer. mwenye haki ya kutangaza matokeo ni mwenyekiti wa tume ya uchaguzi. Kura nyingi feki na za maruhani huingizwa kwa mtindo huu wa karatasi zilozokwoisha tikiwa tayari. kujustify wizi huo lazima mfumo utempiwe ili waweze kupata...
Kwenye kila mfumo Kuna front end na back end. Front end inahusisha user interface hapo ndio authorization kama passwords hutumika hii ni kwa watumiaji wa kawaida. Kwenye backend kunahusisha codes na algorithms pamoja na database (yaani taarifa zulizo hifadhiwa) only authorized people Huwa na...
Ipi faida ya kuunganisha mifumo mitatu kwa pamoja. Mfumo wa NEC, Mfumo wa NIDA na mfumo wa CCM.
Kikawaida watu wengi wanaamini kwamba tume ya Taifa ya uchaguzi tulioipa dhamana ya kulinda kura zetu itatenda haki bila hata ufuatiliaji. Hata hivyo imeonekana kwamba tume ya Taifa ya uchaguzi...
Ndug. Davidilevi Nestory Kindikwa
Mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM)
KWIMBA, MWANZA
Kwa
MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA
Viwanja vya Nanenane Nzuguni
S.L. P 2851
DODOMA.
YAH: MGOMBEA URAIS WA CHAMA CHETU CHA CCM KUKOSA SIFA
Tafadhali rejea somo la hapo juu.
Mimi ni mwanachama wa Chama cha...
Kumuweka mgombea wa uraisi eti Salum Mwalimu. Geresha hii, haya makapi yaliyojichuja kutoka CHADEMA yataambia nini wananchi ili wawaamini? Watanzania sio wajinga kuwahadaa kwa maneno ya uwongo wakati tunajua mchongo mzima.
Anayewacontrol ni mama kizimkazi lengo kuwahadaa mataifa ya magharibi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.