MSHAHARA WA DHAMBI NI MAUTI.
Mwandishi: Hilda Newton (Twitter, X)
Juzi RPC wa Mkoa wa Mbeya alitangaza kupitia vyombo vya Habari kwamba Jeshi hilo limewauwa watuhumiwa watatu wakati wakijaribu kuwakimbia Polisi.
Watuhumiwa hao ni Marwa Nyahende, Edward Kayuni na Websta Mwantebele lakin ukweli...
Baada ya matokeo kuhesabiwa kura zinaingizwa kwenye mfumo wa Computer. mwenye haki ya kutangaza matokeo ni mwenyekiti wa tume ya uchaguzi. Kura nyingi feki na za maruhani huingizwa kwa mtindo huu wa karatasi zilozokwoisha tikiwa tayari. kujustify wizi huo lazima mfumo utempiwe ili waweze kupata...
Kwenye kila mfumo Kuna front end na back end. Front end inahusisha user interface hapo ndio authorization kama passwords hutumika hii ni kwa watumiaji wa kawaida. Kwenye backend kunahusisha codes na algorithms pamoja na database (yaani taarifa zulizo hifadhiwa) only authorized people Huwa na...
Ipi faida ya kuunganisha mifumo mitatu kwa pamoja. Mfumo wa NEC, Mfumo wa NIDA na mfumo wa CCM.
Kikawaida watu wengi wanaamini kwamba tume ya Taifa ya uchaguzi tulioipa dhamana ya kulinda kura zetu itatenda haki bila hata ufuatiliaji. Hata hivyo imeonekana kwamba tume ya Taifa ya uchaguzi...
Ndug. Davidilevi Nestory Kindikwa
Mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM)
KWIMBA, MWANZA
Kwa
MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA
Viwanja vya Nanenane Nzuguni
S.L. P 2851
DODOMA.
YAH: MGOMBEA URAIS WA CHAMA CHETU CHA CCM KUKOSA SIFA
Tafadhali rejea somo la hapo juu.
Mimi ni mwanachama wa Chama cha...
Kumuweka mgombea wa uraisi eti Salum Mwalimu. Geresha hii, haya makapi yaliyojichuja kutoka CHADEMA yataambia nini wananchi ili wawaamini? Watanzania sio wajinga kuwahadaa kwa maneno ya uwongo wakati tunajua mchongo mzima.
Anayewacontrol ni mama kizimkazi lengo kuwahadaa mataifa ya magharibi...
Ubunge kwa maana halisi ya uwakilishi wa wananchi ni kwa yule mzawa ama mkazi wa muda mrefu wa eneo husika na sio aliyekwenda kwa ajili ya kutafuta fursa ya "ulaji".
Je Makonda ana asili ya Arusha? iweje kung'ang'ania Jimbo la Arusha alikopelekwa kwa kazi ya kiserikali ya ukuu wa mkoa? mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.