Naombeni ushauri kuhusu SWEDEN ndugu zangu, mimi natarajia kwenda huko soon,vipi maisha ya Sweden na mazingira kwa ujumla?,nataka kwenda kuishi Stockholm
Ukisema bima ikatwe kama Magari basi itabidi sheria zirekebishwe kwa sababu sisi wafanyakazi tunabeba mzigo mkubwa sana,sisi tunakatwa kila mwezi,lakini sheria zikibadilishwa hilo linawezekana sana
Wawili wakutanapo kwa jina langu Mimi nipo katikati yao(YESU),kila mtakalolifunga duniani na mbinguni limefungwa!,askofu anapaswa kuwa mtu safi,mume wa mke mmoja na asiye na mawaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.