Recent content by grumeti

  1. G

    JamiiForums Tanzania Uchafu wa Dk Kebwe kutumia ofisi ya umma kufanya biashara

    Haya yamesemwa na Rais Magufuli akiwa Dumila njiani kuelekea Dodoma leo tarehe 20 Nov 2019. Aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Morogoro aliyetumbuliwa Dk Kebwe alitumia nafasi yake kupata zabuni za miradi mbalimbali mkoani kwake ikiwa ni pamoja na kupata tender ya ku-supply mbao mbovu. Huyu mtu ni mchafu...
  2. G

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Majaliwa ampa angalizo RC Kebwe. Amwambia mkoa wake umekithiri kwa matumizi mabaya ya fedha

    Haya ni maneno ya wanaserengeti wengi kutomtaka Dk Kebwe kama atatia nia ubunge wa Serengeti baada ya kutumbuliwa. Atafute kazi nyingine ya kufanya au akalee wajukuu.
  3. G

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Majaliwa ampa angalizo RC Kebwe. Amwambia mkoa wake umekithiri kwa matumizi mabaya ya fedha

    Ni baada ya kuonyesha udhaifu mkubwa wa kiuongozi katika kusimamia mkoa wake.
  4. G

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa aibua madudu mazito Mkoa wa Morogoro

    Waziri mkuu yupo ziarani mkoani morogoro. Katika ziara yake, Mhe waziri mkuu ameibua madudu mengi yaliyokuwa yakifanyika katika wilaya mbalimbali za mkoa wa morogoro. Tumeona baadhi ya viongozi wa serikali wakichukuliwa hatua na wengine kutenguliwa katika nafasi zao. Mambo yote haya yamefanyika...
  5. G

    JamiiForums Tanzania Nani ni Nani jimbo la Serengeti 2020, Stephen Kebwe au Charles Moremi?

    CCM ni chama cha wakulima na wafanyakazi
  6. G

    JamiiForums Tanzania Nani ni Nani jimbo la Serengeti 2020, Stephen Kebwe au Charles Moremi?

    Kumekuwepo na mnyukano wa chini kwa chini katika viunga vya jimbo la Serengeti kati ya wafuasi wa Stephen Kebwe na Charles Moremi wote wakiwa makada wa Chama cha Mapinduzi. Naomba tufanye uchambuzi kidogo juu wa watia nia hao ambao kwa kiasi kikubwa wamekua gumzo katika vijiwe mbalimbali hapa...
  7. G

    JamiiForums Tanzania Edo Kumwembe: Kwanini Spika Ndugai anawalaumu wanaosema "Hapana" lakini anawakumbatia wale wa "Ndiyooo"??

    Hata wanaosema hapanaaaa leo wakipewa nafasi ya kuongoza nchi watasema ndiyooo
  8. G

    JamiiForums Tanzania Bashiru Ally: Kuna Wakuu wa mikoa wanne wameanza kampeni ya ubunge

    Aanze na Dr Kebwe, analazimisha wakati wananchi wa Serengeti hawamtaki. Tupo tayari kupiga kura kuchagua tofali kuliko kebwe
  9. G

    JamiiForums Tanzania Charles Moremi, kada wa CCM aliyewachezea Chadema rafu uchaguzi mdogo Tarime

    Nimemsikia Katibu wa Chadema Mkoa wa Mara Mwl Chacha Heche katika mitandao ya kijamii akimtuhumu Kada wa CCM na mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM aitwaye Charles Moremi kuwa aliwachezea rafu wana Chadema katika uchaguzi mdogo wa udiwani Kata ya Turwa huko Tarime na kuiba kura zilizowezesha CCM...
  10. G

    JamiiForums Tanzania Mwakyembe awatega wabunge CHADEMA, awaambia wakitaka ukweli warudishe hoja ya Richmond Bungeni

    Mwakyembe binafsi nakukubali sana kwa umahiri wako wa sheria na hasa nilikukubali zaidi kwa namna ulivyoiandaa ripoti ya Richmond iliyomng'oa Edward Lowassa kwenye uwaziri mkuu. Tuwe wawazi jamani, ni nani ndani ya Chadema atakayekubali sakata hilo lirudi bungeni tena? Wako wanachama ndani ya...
  11. G

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Charles Moremi: Kampeni za ubunge 2020 serengeti zimeanza?

    Wadau wa jukwaa hili,kumekuwepo na pitapita kwa kijana mmoja anayeitwa Charles Moremi katika vijiji mbalimbali vya wilaya ya Serengeti na kutoa misaada mbalimbali kama kuchangia madawati huku akisema anaunga jitihada za Mhe. Rais za kuhakikisha wanafunzi hawakai chini. Na inasemekana ni katika...
  12. G

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Serengeti ni Kiraka katika Baraza la Mawaziri

    Wanaserengeti jana tumeshangaa kuona Steven Kebwe kuteuliwa kuwa naibu waziri wa afya. Tulitegemea mkuu atapunguza idadi ya watakaokuwa mizigo kumbe ndo idadi inaongezeka. Huyu mbunge jimboni kwake kashindwa kuwatumikia wananchi,sijui itakuaje kwa majukumu ya taifa aliyopewa
  13. G

    JamiiForums Tanzania Anne Kilango: Mbunge asiyeleta maendeleo,aondolewe kwa kura uchaguzi wa 2015

    Mama Kilango kafyatuka,kasema wananchi wasiwape kura 2015 wabunge wasioleta maendeleo. Kaenda mbali kasema hata kama ni yeye wana same mashariki waamue. Wafuatao nahisi waweza kuondolewa 1. Dr Kebwe CCM-Serengeti 2. Mwigulu Nchemba Weka wengine
  14. G

    JamiiForums Tanzania Serikali yatangaza viwango vipya vya alama za ufaulu elimu ya sekondari

    Ile tume iliyoundwa kuchunguza kwa nini matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2013 yalikua mabaya na kuiaibisha serikali sasa imetoa majibu na kupanga madaraja ya mapya ya ufaulu yatakayoanza kwa watakaofanya mtihani wa kidato cha nne November 2013. Cha kushangaza Profesa huyu anasema Division zero...
Back
Top Bottom