MISULI
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,826
- 5,451
Juzi kamtumbua KP ambaye mliimba kuwa kanda yake na kampa wa kaskazini ambaye mmeaminisha watu kuwa wanabaguliwa. Punguzeni SIASA UCHWARA.Huyu nadhani magu atamvumilia kwa sababu ni wa kanda pendwa, na kabla hajateuliwa ukuu wa mkoa hali yake ilikuwa ngumu sana